Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Nyie wa tanapa safari ni ndefu mchujo wao sio wakitoto unapima afya, magonjwa yote kama unaijua mgojwa Usiende wanakupunguza baada ya hapo mnachapwa oral mnatulia ukipata Unaenda mafunzo ya jeshi lao miezi mitatu tena bila mshahara mafunzo magumu kama JKT ukifeli mafunzo unafukuzwa upati ajira safari nindefu
 
Daa sasa sijui ndugu yangu anakosea wapi maana ana certificate ya business admn lakini akiomba utendaji wa mtaa system inagoma kuwa hajakidhi qualifications.

Au usimamizi wa fedha ni watu wa finance/banking?
Hapo kuna mambo mawili
Elimu ikiwa kubwa yaan ukute ana diploma au Degree na kuendelea alafu aombe iyo certificate haitakubali la pili program category aweke itakayofit kwenye course yake kwa mfano kama ana certificate only kweny program iwe HR and Administration then kweny program aweke sasa iyo certificate in business administration
 
Hii ya descriptions si itazingatiwa zaidi tarehe 14? Sasa tarehe 13 kwenye usaili wa vitendo au kupima Afya hapo nini kitafanyika? Maana hawawezi kupima Afya hivi hivi[emoji848]
Hapo siwezi kujua, hata hivyo wewe ndio unajua taaluma yako na unajua maeneo ambayo yanaweza kufanyika kwa vitendo.

Jiandae namn hiyo
 
Jamani wana jamvi nina kaswali hapa, TANAPA na mimi wameniita kunikanda lakini sasa usaili wa mchujo hakuna(Alhamdulillah) usaili uliopo ni wa vitendo(zoezi la kupima Afya ) na Oral Swali langu lipo hapo kwenye zoezi la kupima Afya hamna Tumazoezi kweli hapo? Nianze kujifua?🤔View attachment 3049204
Wanacheck marinda kama yapo, jiandae🤣
 
Hapo kuna mambo mawili
Elimu ikiwa kubwa yaan ukute ana diploma au Degree na kuendelea alafu aombe iyo certificate haitakubali la pili program category aweke itakayofit kwenye course yake kwa mfano kama ana certificate only kweny program iwe HR and Administration then kweny program aweke sasa iyo certificate in business administration
Shukran
 
Wakuu m mwalimu nipo mbeya nahitaji sehemu nkajtolee kufundsha fedha kwangu sio kpaumbale sana, msaada please najua humu tupo watu wengi na connection kubwa pia. Masomo ni biology na geography
 
Kuna mdogo wangu kaitwa upolisi kupitia elimu ya kidato cha nne. Ivi usaili wao upoje, naomba msaada wenu wanajamvi
 
Back
Top Bottom