ANoblePerson
JF-Expert Member
- Sep 30, 2023
- 466
- 701
Yaan changamotokada tu kuiona mtiti 🤣 🤣
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yaan changamotokada tu kuiona mtiti 🤣 🤣
Lipo??????tusubirini pdf la kesho
kesho lipo.Lipo??????
Kaka kada yangu kila siku ipo.kada tu kuiona mtiti [emoji1787] [emoji1787]
Tulia kaka 😅😅....mimi niliofanya nao wawili wameitwa. Ninajua yangu iko njiani, I declareKaka kada yangu kila siku ipo.
Mimi sasa.
🤣🤣🤣 karibu Buhigwe.Wakuu,
Mimi nilipofikia sasa, kwa kweli wanipeleke Halmashauri yoyote tu
Hata Kama ni Mpimbwe, Kakonko, Uvinza, Karagwe na kwingineko huko
Matakooooni kabisa mwa nchi
😂😂😂 Niiteni bas🤣🤣🤣 karibu Buhigwe.
Mkuu nmemalza mwaka huuNafasi za kazi za walimu zimetangazwa hivi karibuni, kwann usiombe??
🤣 🤣 hiyo inatia moyo wengine tukiona kada zetu furaha yake ni kama tumeliona jinaKaka kada yangu kila siku ipo.
Mimi sasa.
Mkuu Tutafikiwa Tu🤣 🤣 hiyo inatia moyo wengine tukiona kada zetu furaha yake ni kama tumeliona jina
hilo nalijua ila ulimi utakua usawa wa magooti 🤣 🤣Mkuu Tutafikiwa Tu
Hongereni mliolamba asali,mkawe watumishi wema katika kutekeleza majukumu ya Kazi...Pdf limejumuisha watu wa mwez wa 1 2023 aisee kha
Mimi sipo mkuu tuwapongeze waliolamba asali Mungu akawatangulie kwenye majukumu yao ya kazi AMENHongereni mliolamba asali,mkawe watumishi wema katika kutekeleza majukumu ya Kazi...
Bado la mwaka 2022 la Taasisi .....
Naam EngineerNipendee kuwapongeza sekretarieti ya ajira na utumishi wa umma.
Kwa kutuletea mikeka mingi sana mwezi huu zoezi hili likawe endelevu kuliko kutoa vimikeka viwili au vitatu kwa mwezi.
Kingine PDF imechukua watu wengi wa kazidata na wenye miaka zaidi ya mmoja nadhani lengo lao nikumaliza database Hui nzuri.
Niwatakie asubuhi njema
Hayuko..Kuna mtu amewahi itwa interview utumishi kupitia maombi ya ajira portal na hakucertify vyeti vyake ?