Labla ww ndie utakuwa wa kwanza 😎Kuna mtu amewahi itwa interview utumishi kupitia maombi ya ajira portal na hakucertify vyeti vyake ?
Ilikuwa 2021 niliitwa ilikuwa nafasi ya monitoring and evaluation Rea. Ila kwa sasa lazima ukagonge muhuriKuna mtu amewahi itwa interview utumishi kupitia maombi ya ajira portal na hakucertify vyeti vyake ?
Taasisi gani?Hongereni mliolamba asali,mkawe watumishi wema katika kutekeleza majukumu ya Kazi...
Bado la mwaka 2022 la Taasisi .....
Haijawahi kutokea hii kitu, labda zamani sana kabla hawajaanza kuzingatia hiloKuna mtu amewahi itwa interview utumishi kupitia maombi ya ajira portal na hakucertify vyeti vyake ?
Sasa tatizo liko wapi??Mkuu nmemalza mwaka huu
Sina cheti wala transcript nina provisional tu kwahyo automatically sna vgezo ndo maana natafuta pakujtoleaSasa tatizo liko wapi??
Majukumu ndugu yangu ila huwa napitia humu kila wakati nipatapo muda.Mkuu karibu sana, ulitutenga Mda mrefu kidogo
aisee ndugu yangu bora hata electrical wanatoka kidizain ila hao tele,auto na mechanical wanasugua si kitotoHakuna shuhuda!, Engineers wameanza kuwaona civil, mechnical, enviromental bado Automobile, electrical, Telecommunication na computer Engineer zamu yenu itafika😁😳
oya utawala vipi tunatoboa 🤣 🤣Kuna pdf ya mchana wadau
Hili wengi hawazingatii sana, nna watu kadhaa wa karibu kwa strategy km hii wamebahatika kulamba asaliHongereni wote mnaoendelea kuingia kundini.
Naendelea kusisitiza, HAKIKISHA UNAAPPLY HATA KAMA NAFASI NI 1, HAKIKISHA UNAFANYA USAHILI HATA KAMA NAFASI NI 1 NA HAKIKISHA UNAPAMBANA HADI ORAL.
Tangu niaapply nafasi zinazotagazwa na PSRS mwaka 2022 hadi sasa, nimekuwa nikifuatilia Job advertisements, Call for Interview(hii sio sana) na Placements.
Nimeona nafasi zinatangazwa zikiwa zinataka watu 2, lakini wakati wa placements wanachukuliwa ama hao 2 au zaidi, au wanakuja kuchukua tena kutoka database watu kadhaa zaidi wa nafasi hiyo hiyo. Kwa hiyo wale waliofika oral na kukaa bench wanaingia kundini kiulaini.
Kuna watu wangu wa karibu huwa kila mara nawashauri wafanye hizo sahili ila wanapuzia lakini wengine wanazozipambania tayari wanapata nafasi kiulaini.
Hatupangiani juu ya kufanya maamuzi ila ushauri hatuachi kutoa. Maamuzi atabaki nayo Mshauriwa.
Mimi nimefikia hatua ya kukaushia mtu.Hili wengi hawazingatii sana, nna watu kadhaa wa karibu kwa strategy km hii wamebahatika kulamba asali
ila mfifwa mungu akupe maisha marefu aisee endelea na moyo huohuo wa kutukumbuka majobless..Mimi nimefikia hatua ya kukaushia mtu.
Nimekuwa natanguliza neno KAMA UNA INTEREST ili akipenda afanye asipopenda aache.
Ile nafasi ya Registration Officer ya NECTA iliwahi kutangazwa mwaka jana ilihitaji watu 2. Lakini hadi sasa wanachukua watu kutoka database, ambao hawakuzembea imekuwa bahati yao
Muhim sana hili la interest, kuna dogo pia aliona zile post za ASA Walika agricultural engineer kwenye tangazo nakumbuka hazikuzidi watu 20 akawa anapuuzia kuomba ila walipokuja kuchukua walizoa balaa watu wa civil walikuchukua km 100, wa maji walichukua km 60 na wa agriculture engineer nao walikua wa kutoshaMimi nimefikia hatua ya kukaushia mtu.
Nimekuwa natanguliza neno KAMA UNA INTEREST ili akipenda afanye asipopenda aache.
Ile nafasi ya Registration Officer ya NECTA iliwahi kutangazwa mwaka jana ilihitaji watu 2. Lakini hadi sasa wanachukua watu kutoka database, ambao hawakuzembea imekuwa bahati yao
Tumor maua yake kwa kututia moyo.ila mfifwa mungu akupe maisha marefu aisee endelea na moyo huohuo wa kutukumbuka majobless..
NdiyoKuna mtu amewahi itwa interview utumishi kupitia maombi ya ajira portal na hakucertify vyeti vyake ?