Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Naombeni kuuliza swali?

Nilifanya oral moja ya hospital kubwa nchini tulikuwa watu 150+ mwezi wa nane.

Wakaitwa watu mwezi wa 11 kazini idadi walizotangaza ni 50 ila waliita watu 20 tu kazini.

Baada ya hapo hawakuita tena database mpaka mwezi uliopita ndo wakaanza kuchukua watu kwa database yetu maana muda wote walikuwa wanaita wale waliotutangulia.

Swali langu .

Je mwezi wa nane ikifika database yetu itakuwa ina expire ilhali hawajafika idadi hata ya watu 100+?
Usiwe na hofu mkuu...database huwa inapita mwaka si unaona wanaita kuanzia january 2023
 
Broo mwifwa kuna uhusiano gani Kati ya waziri aliyekuwepo madarakani na wingi wa ajira kwenye portal?
hakuna uhusiano,huu ni mwaka wa fedha umeanza hivyo fungu lilishakuwepo muda tu,pia uchaguzi unachangia pa kubwa....ukifika mwez wa 9 tutatafutana
 
hakuna uhusiano,huu ni mwaka wa fedha umeanza hivyo fungu lilishakuwepo muda tu,pia uchaguzi unachangia pa kubwa....ukifika mwez wa 9 tutatafutana
Yes hata ukiangalia mwaka jana trending ya ajira pdf zilifululiza sana mwezi wa saba na wa nane baada ya hapo matanga.

Nadhani kinachopelekea pdf kuwa nyingi ni .

(1)mwanzo wa mwaka wa fedha fungu lipo.

(2)vibali vimetoka kutolea sio muda.

(3) wanakimbizana na database hasa ya mda lga walioirundika mwaka jana
 
Yes hata ukiangalia mwaka jana trending ya ajira pdf zilifululiza sana mwezi wa saba na wa nane baada ya hapo matanga.

Nadhani kinachopelekea pdf kuwa nyingi ni .

(1)mwanzo wa mwaka wa fedha fungu lipo.

(2)vibali vimetoka kutolea sio muda.

(3) wanakimbizana na database hasa ya mda lga walioirundika mwaka jana
target kuanzia january halmashauri na taasisi zitengeneze strategies tu,na sioi uhaba wa watendaji.
 
Mm uwa nawashangaa utumishi kwa hizo pdf mfano Tano wangekuwa wan a combine pamoja kuliko kutoa kila Siku
majina hua yanachambuliwa na siyo inshu ndogo kuchambua,pia wao ni taasisi wanategemea population/visitors kuexist hiyo ni market plan/branding siyo mbaya kufanya hivo.

taasisi now zinachukua watu chap kwa haraka huenda pia wanahofu after election serikali itakuwa haina pesa za kuajiri.
 
Nashukuru Mwenyezi Mungu,hatimaye nami nimeona jina langu ktk placement jioni hii....hakika ni Kam ndoto kwangu maana huu msoto haukuw rahis ila naamin wkt wa Mungu ndio wkt sahihi,kila mmoja wetu humu nna Imani atapata kazi kwa muda aliopangiwa na Mungu....
Hongera sana na karibu katika utumishi wa umma.
 
Wapendwa nashukuru sana Mungu hatimae na mimi nimekumbukwa see nilambe asali mimi Ndio nilikosa nafasi za TRC lakini sikuvunjika moyo nilishukuru Mungu kwakweli. Japo nilikosa maneno mengi. Leo nineona nguvu ya kushukuru Mungu na mimi nimo nawatia moyo kufika oral Nijambo jema zaidi nimeona mkono wa mungu kwenye Shirika nono kuliko TRC
Hongera na ukawe mtumishi bora.
 
Back
Top Bottom