Usiwe na hofu mkuu...database huwa inapita mwaka si unaona wanaita kuanzia january 2023Naombeni kuuliza swali?
Nilifanya oral moja ya hospital kubwa nchini tulikuwa watu 150+ mwezi wa nane.
Wakaitwa watu mwezi wa 11 kazini idadi walizotangaza ni 50 ila waliita watu 20 tu kazini.
Baada ya hapo hawakuita tena database mpaka mwezi uliopita ndo wakaanza kuchukua watu kwa database yetu maana muda wote walikuwa wanaita wale waliotutangulia.
Swali langu .
Je mwezi wa nane ikifika database yetu itakuwa ina expire ilhali hawajafika idadi hata ya watu 100+?
Rejea Kwa muhagama ahadi Yake Ile hakuitimiza mpaka anaondoka, na Kasi ilikuja ongezeka zaidi Baada ya kuja mwingineKwani waziri anahusika vipi na pdf ukiachana na katibu mkuu
Nimeuliza tu nataka kujua mahusiano ya database, wingi wa ajira na waziriRejea Kwa muhagama ahadi Yake Ile hakuitimiza mpaka anaondoka, na Kasi ilikuja ongezeka zaidi Baada ya kuja mwingine
Broo mwifwa kuna uhusiano gani Kati ya waziri aliyekuwepo madarakani na wingi wa ajira kwenye portal?Siku nyingi sana, zaidi ya mwaka sasa yupo kazini
hakuna uhusiano,huu ni mwaka wa fedha umeanza hivyo fungu lilishakuwepo muda tu,pia uchaguzi unachangia pa kubwa....ukifika mwez wa 9 tutatafutanaBroo mwifwa kuna uhusiano gani Kati ya waziri aliyekuwepo madarakani na wingi wa ajira kwenye portal?
Yes hata ukiangalia mwaka jana trending ya ajira pdf zilifululiza sana mwezi wa saba na wa nane baada ya hapo matanga.hakuna uhusiano,huu ni mwaka wa fedha umeanza hivyo fungu lilishakuwepo muda tu,pia uchaguzi unachangia pa kubwa....ukifika mwez wa 9 tutatafutana
Mm uwa nawashangaa utumishi kwa hizo pdf mfano Tano wangekuwa wan a combine pamoja kuliko kutoa kila SikuHongereni mliolamba asali borea watoe Pdf mfululizo na wengine tufikiwe [emoji22] [emoji22]
target kuanzia january halmashauri na taasisi zitengeneze strategies tu,na sioi uhaba wa watendaji.Yes hata ukiangalia mwaka jana trending ya ajira pdf zilifululiza sana mwezi wa saba na wa nane baada ya hapo matanga.
Nadhani kinachopelekea pdf kuwa nyingi ni .
(1)mwanzo wa mwaka wa fedha fungu lipo.
(2)vibali vimetoka kutolea sio muda.
(3) wanakimbizana na database hasa ya mda lga walioirundika mwaka jana
Kwao siyo tatizo hivyo sioni haja ya Sisi kuwapangia.Mm uwa nawashangaa utumishi kwa hizo pdf mfano Tano wangekuwa wan a combine pamoja kuliko kutoa kila Siku
majina hua yanachambuliwa na siyo inshu ndogo kuchambua,pia wao ni taasisi wanategemea population/visitors kuexist hiyo ni market plan/branding siyo mbaya kufanya hivo.Mm uwa nawashangaa utumishi kwa hizo pdf mfano Tano wangekuwa wan a combine pamoja kuliko kutoa kila Siku
Haya majukumu mema mkatengeneze baruti nyingi wachimbaji wa migodi(madini) waje kununua kwa wingi na mitambo n.kNimekula huko Asee ni muujiza kwangu Hata siamini
Hongera sana na karibu katika utumishi wa umma.Nashukuru Mwenyezi Mungu,hatimaye nami nimeona jina langu ktk placement jioni hii....hakika ni Kam ndoto kwangu maana huu msoto haukuw rahis ila naamin wkt wa Mungu ndio wkt sahihi,kila mmoja wetu humu nna Imani atapata kazi kwa muda aliopangiwa na Mungu....
Hongera sana karibu tuutumikie umma.Mungu ameniona, Mungu ameniona, Mungu ameniona, Mungu ameniona, ahsante sana utumishi
Hongera na ukawe mtumishi bora.Wapendwa nashukuru sana Mungu hatimae na mimi nimekumbukwa see nilambe asali mimi Ndio nilikosa nafasi za TRC lakini sikuvunjika moyo nilishukuru Mungu kwakweli. Japo nilikosa maneno mengi. Leo nineona nguvu ya kushukuru Mungu na mimi nimo nawatia moyo kufika oral Nijambo jema zaidi nimeona mkono wa mungu kwenye Shirika nono kuliko TRC
Ndio inavyokuaga.Usiku Sijalala nimeona isiwe ni ndoto niamke Nisije kojoa kitandani nyiii endeleni kuwa wanyeyekevu Mungu atawainua mimi bado siamini
Jana tu hapa tunachat kumbe jina linakuja Mungu Mkubwa Sana. Hongera Sana CCUsiku Sijalala nimeona isiwe ni ndoto niamke Nisije kojoa kitandani nyiii endeleni kuwa wanyeyekevu Mungu atawainua mimi bado siamini