Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Unaweza kushare link hii na rafiki au ndugu yako ajiunge humu pia ili asipitwe na taarifa mbalimbali kutoka Ofisi ya Rais, Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma kuhusu masuala ya ajira.

 
Angalia tu isije ukawa upo Halmashauri.

#YNWA
 
Sasa hiv unahaki ya kutembea kifua mbele....umeupiga mwingi kama spain
 
Sasa wewe una bahati nzuri ulivyokosa TRC. TRC ni michosho sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…