Munch wa annabelletz47
JF-Expert Member
- Aug 13, 2019
- 1,885
- 3,227
Npe tofauti ya institute na universite mfano TIA,NIT,IAA na UDSM,UDOM,SUA tuanzie hapo maana kila chuo kina miongozo na vgezo vyake pia hata kwenye kuadmit wanafunzi kwahyo haziwezi lingana lakini tutorial na assistant lecturer wa UDSM na TIA mshahara ni sawa wanatofautina kwenye uzito wa kozi tu na ndo panapotofautisha mishahara yao, mfano tutorial wa sociology hawez kulingana na tutorial wa MD mshaharaTCU walisha harmonize siku nyingi Sana
Universities atleast 3.8
Institutes 3.5
Endelea kukaa na miongozo outdated.