Hongera sana mkuu kila la kheri kwenye majukumu yako mapyaDah namimi kijana wa Rangitatu leo baada ya kutoka kuuza mtumba narudi gheto napumzika navuta pumzi ndefu, nakuta Mungu amenibless nimelamba ASALI. DAH struggle hii haikua rahisi lakini Mungu mwema. Nawaombea wote Mungu awatendendee DATABASE IS REAL na written nilitoboa kwa mbinde marks 53. Wakuu Elmarabiosh, Utawala Mungu awaone nanyi nawengine wote mnaofatilia uzi huu since dei one
Tuendelee kutiana moyo mkuu maana hamna uzito wala gharama yeyote kwa kufanya hiviChief MWIFA umetupiga tafu sana vijana kwenye nyakati ngumu za kutaka kukata tamaa. Nakubali mkuu
Ahsante sana...MUNGU akukumbuke pia [emoji120]Hongera sana
Jana ulikuwa huna juice ya miwa?Dah namimi kijana wa Rangitatu leo baada ya kutoka kuuza mtumba narudi gheto napumzika navuta pumzi ndefu, nakuta Mungu amenibless nimelamba ASALI. DAH struggle hii haikua rahisi lakini Mungu mwema. Nawaombea wote Mungu awatendendee DATABASE IS REAL na written nilitoboa kwa mbinde marks 53. Wakuu Elmarabiosh, Utawala Mungu awaone nanyi nawengine wote mnaofatilia uzi huu since dei one
Hongera sanaNdg zangu nashukuru Mungu nimefikiwa. What I learn from this struggle ndg zangu. Tumuombe sana Mungu anatenda.
Mbona sijaonaMDA &LGA wamemwaga ajira za kutosha huko ajira portal.
Hongera sana Diaspora wnguDah namimi kijana wa Rangitatu leo baada ya kutoka kuuza mtumba narudi gheto napumzika navuta pumzi ndefu, nakuta Mungu amenibless nimelamba ASALI. DAH struggle hii haikua rahisi lakini Mungu mwema. Nawaombea wote Mungu awatendendee DATABASE IS REAL na written nilitoboa kwa mbinde marks 53. Wakuu Elmarabiosh, Utawala Mungu awaone nanyi nawengine wote mnaofatilia uzi huu since dei one
Mkuu sioni anuani ya kutuma maombi inakuwaje hapo mkuuMDA &LGA wamemwaga ajira za kutosha huko ajira portal.
Anuani gani hujui, anuani ya Katibu Utumishi??Wakuu naomba kujua anuani ya kutuma maombi hizo nafas za kaz za mdas na lgas kwa yeyote anaejua
Anuani huifahamu ?, si ni ya psrsMkuu sioni anuani ya kutuma maombi inakuwaje hapo mkuu
Anuani huifahamu ?, si ni ya psrs
Anuani ni ya psrs tangozo limepitia utumishi hilo so anuani ni ya utumishi tumiaWakuu naomba kujua anuani ya kutuma maombi hizo nafas za kaz za mdas na lgas kwa yeyote anaejua
Ni hii mkuu kumladhiAnuani ni ya psrs tangozo limepitia utumishi hilo so anuani ni ya utumishi tumia