Doubleg Malafyale
JF-Expert Member
- Feb 17, 2017
- 2,733
- 3,561
Kaona mbali sana,ukikaa ofisini pale unamuona mwanao anakukodolea macho,baba acha ufisadi ukitimuliwa hapa tutaishije,ada nani anatatulipia😀😀Maamuzi ya raisi wa Senegal youngest president in Africa
Afu mkuu utaletwa utumishi utakua sehemu ya wakandaji😂L
Leka nyambala mbombo ngafu
E si kada zote mkuu,zile za sayansi kama electrical,arctecture,civil n,k ndo wanawalipa E lakinj zile zingine D mkuuLGA wabahirifu, mshahara degree TGS D, diploma TGS C. Kwa kawaida huwa degree TGS E, Diploma TGS D.
Je za IT mkuu?E si kada zote mkuu,zile za sayansi kama electrical,arctecture,civil n,k ndo wanawalipa E lakinj zile zingine D mkuu
EJe za IT mkuu?
Oh asante.
Hapo ndo ujue leadership skills sio umri ni mtu tu ukiamua ku-behave unaweza kwanza alipo apishwa tu akafute Kodi zote za kipuuzi zinazo umiza wananchi na kuamua kutegeme mapato kutoka kwa resource za nchi na natural resource na leo kaja na hii kubandika picha yake mahofisini na kumuabudi no yeye sio Mungu ni binadamu wa kawaida tu ila tu amepewa dhamana ya kuwatumikia wanchi, hivyo kawaomba wabandike picha za watoto wao mahofisini kwao ili ziwe zinawakodolea macho waache ufisadi😁Kaona mbali sana,ukikaa ofisini pale unamuona mwanao anakukodolea macho,baba acha ufisadi ukitimuliwa hapa tutaishije,ada nani anatatulipia😀😀
D na E inanzia shingap ?E si kada zote mkuu,zile za sayansi kama electrical,arctecture,civil n,k ndo wanawalipa E lakinj zile zingine D mkuu
Ila bachelor mkuu na si diplomaOh asante.
D laki 765 mshahara wa diploma ya afya TamisemiD na E inanzia shingap ?
Nami nimeshangaa watu 64 wote diploma...bora wangegawa watoe ata 30 degreeIla bachelor mkuu na si diploma
Afu pdf la tangazo za ajira MDA & LGA la leo haiuna watu wa IT wenye level za bachelor😀
Mkuu kazi za MDA & LGA kuna ulaji kweli?. Mbaga Jr
Eeh kumbe afya wako vzr hapo kama una loan board n kama ngap take home?D laki 765 mshahara wa diploma ya afya Tamisemi
Lazima uondoke na 500+Eeh kumbe afya wako vzr hapo kama una loan board n kama ngap take home?
Afya Tamisemi Diploma Wote wanaondoka na 740K take home 635K.Eeh kumbe afya wako vzr hapo kama una loan board n kama ngap take home?
Tgs D. basic salary 765,000.00D na E inanzia shingap ?
Nipe connection kaka nitoboe vip ni pm mkuuAfu mkuu utaletwa utumishi utakua sehemu ya wakandaji😂
Kyala atufigwege
Amina nyambala Kyala nkotaAfu mkuu utaletwa utumishi utakua sehemu ya wakandaji😂
Kyala atufigwege