No SQL
JF-Expert Member
- Nov 8, 2014
- 7,063
- 12,563
Kuna mdau huwa anasema njia nyepesi ni kupiga pepa kuliko kutafuta connectionHivi kuhama kutoka Halmashauri kwenda taasisi inabidi uwe na ukali gani
tusubiri wataalamu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna mdau huwa anasema njia nyepesi ni kupiga pepa kuliko kutafuta connectionHivi kuhama kutoka Halmashauri kwenda taasisi inabidi uwe na ukali gani
Hii ni kama vita ya Uganda na Tanzania.Hivi kuhama kutoka Halmashauri kwenda taasisi inabidi uwe na ukali gani
Kupiga pepa kivipi chiefKuna mdau huwa anasema njia nyepesi ni kupiga pepa kuliko kutafuta connection
tusubiri wataalamu
Asante niliziona mbili moja ya Quality assurance nimeiona sahizi shukrani.kumbuka na hiyo quality assuarance
kwa nini usingesubiri mpaka watoe pdf ya tangazo ili ujue anuani unayotumia either kwa katibu utumishi auAsante sana....nipo naapply hapa tayari....maana profile lipo vizuri ni kufanya application tu
Na imegoma mkuu.... imeandika failed nahisi nimeanza mapema sana....nasubiri pdf ubarikiwe..... Asante kwa ukumbushokwa nini usingesubiri mpaka watoe pdf ya tangazo ili ujue anuani unayotumia either kwa katibu utumishi au
Nafasi nzuri hizi msizichukulie poaukiona Admission officer, Examination officer ...hizo ni changanyikeni
Leka malafyale yaani nalitafuta tangazo la nactvet silioniTuongeze received IT zimemwagwa TAA na IAA
Ajiraportal wameweka ila pdf la Tangazo bado
Hao jamaa wahuni. Nimeona posts za eGA jioni hii lakini kila nikijaribu kufanya application zinagoma. Ila moja tu ya standards and compliance ndio inakubali. Watuajiri tuwatengenezee mifumo bora hawa wakandajiWakuu tuendelee kuongeza received
Kuna vacancies zimemwagwa huko ajiraportal,ingia kwa account yako
dah nimeliona tangazo leo nimejikuta nacheka tu yaani watu wanafata barua wengine tunafata usahili tena.🤣🤣El marabiosh kaka Nimeona electrical naomba kaongeze received.
haki-tz kaongeze received.
Mbaga Jr kaongeze received.
Hizi Database zitawaua.
Mimi nishaanza kusoma kujipanga na usaili wa Tamisemi.
sasa watu wamechanical bado wanaitwa interview si ukatili wa kisaikolojia huu.. 🤣 🤣Naona Electrical degree Tushakuwa garbage ,Hadi bwawa la asali TAA nao wanatutema tu .
Wamesomba diploma tu hii pdf ya leo
hongera mwanangu kumbe ushalikimbiaga chama kitambo tu 🤣 🤣Miwa mkuu nimeiacha rangi 3 mbagala lakini elimu yake ipo nami [emoji3]
Walikuwa hawajamaliza ku upload tangazoHao jamaa wahuni. Nimeona posts za eGA jioni hii lakini kila nikijaribu kufanya application zinagoma. Ila moja tu ya standards and compliance ndio inakubali. Watuajiri tuwatengenezee mifumo bora hawa wakandaji
EWURA, LATRA, PBPA nao hawastaafu wala kufaSema nafasi tu zinatangazwa aisee. Kijana mtafuta ajira, kama inawezekana, hakikisha umefanya interviews zote zinazokuhusu maana huwezi jua nini kinakuja mbele.
Hiv hawa NHIF, PSSSF, WCF, MSD, REA, TCRA, PURA, TPDC, NEMC, OSHA, NHC, TBS, TFS, TFNC, TANROADS, DCEA, NSSF, BRELA, EPZA, TTCL, GCLA na wenzao wa aina hii wao hawana uhitaji na watumishi? Au wakuu mlioenda Halmshauri ndio mnahamia huko kwa kasi na kumaliza ikama zote??
NIMRI ,TPA , TANESCO, TACAIDEWURA, LATRA, PBPA nao hawastaafu wala kufa
Dah ila mechanical na auto position zaidi ya 20 bilabila kupangiwa placement mwaka ndo umekata 😂, sijui wanaugomvi na utumishisasa watu wamechanical bado wanaitwa interview si ukatili wa kisaikolojia huu.. 🤣 🤣
Hizo taasisi watu wanahamia kwa connection. Labda watangaze nafasi moja au mbili. Halmashauri ndio zinaajiri kwa wingi. Bongo kila kitu michongoEWURA, LATRA, PBPA nao hawastaafu wala kufa
Unajikuta mtu una received 14😀😀Japo sijapata kazi, lakini naona ni busara kushukuru pia....
Serikali imetoa ajira nyingi, mimi mpaka nimefikia hatua ya kuchagua ipi niombe na ipi nisiombe....
Hii inatia moyo
Yaani kituko kweli aiseeDah ila mechanical na auto position zaidi ya 20 bilabila kupangiwa placement mwaka ndo umekata 😂, sijui wanaugomvi na utumishi