Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Yah n kwel kabisa, ht mm bado cjaona inayonifaa ila hakika ajira zinamwagwa [emoji91]
Hii imekuwa same too me ajira niliyoitarajia olaa database nayo mkeka sio muda unataka kuchanika.

Kwenye received nakutana na MDA LGA mwendo wa TGHs.

Wakati wenzako taasisi wanakula mema ya nchi na ulifanya usaili hadi oral ukapasua.

Ya Mungu mengi jamani hata Ibrahim alitakaga mtoto na yeye ila akaja kupata uzeeni
 
kumbe kuna watu mnachagua hadi post za kuomba na hamtuambii😀😀😀😀😀
Mzee ukiwa mpambanaji lazima hasa ukizoea hizi saili za utumishi kuna muda unajikuta una mzuka na taasisi.

Mimi kama ningekuwa na chimbo la kueleweka nadhani nisingeomba ajira za Tamisemi.

Haiwezekani mshahara wa Tamisemi mara mbili ya aliye MUHIMBILI.

Kwani mimi sitaki hela.
 
Hii imekuwa same too me ajira niliyoitarajia olaa database nayo mkeka sio muda unataka kuchanika.

Kwenye received nakutana na MDA LGA mwendo wa TGHs.

Wakati wenzako taasisi wanakula mema ya nchi na ulifanya usaili hadi oral ukapasua.

Ya Mungu mengi jamani hata Ibrahim alitakaga mtoto na yeye ila akaja kupata uzeeni
Tuendelee kusubiri tuone
 
Mzee ukiwa mpambanaji lazima hasa ukizoea hizi saili za utumishi kuna muda unajikuta una mzuka na taasisi.

Mimi kama ningekuwa na chimbo la kueleweka nadhani nisingeomba ajira za Tamisemi.

Haiwezekani mshahara wa Tamisemi mara mbili ya aliye MUHIMBILI.

Kwani mimi sitaki hela.
kwani database yako si bado inasoma? soon Mungu ata bless tu
 
Hivi kuhama kutoka Halmashauri kwenda taasisi inabidi uwe na ukali gani
 
Back
Top Bottom