Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Mkuu unatoboa, ukikosa maswali wanakuuliza meng zaid ujue umewakosha
 
Hahaha, jana nilitaka tukuagize kuhakikisha ukirudi kutoka Dodoma uje na maelezo ya kutosha kuhusu Prok, kama ni mnene, mwembamba, mrefu, mweupe au mweusi. Kuhusu utamjuaje, hatujui.
Hahahaaa.

Labda nikisie kuhusu watu niliowaona ambao lazima walikuwa Wanasheria maana walivaa suti za kiuanasheria wote(ke na Me, sijui waliambizana)

Wadada walikuwa wengi kuliko wanaume.

Wadada wote walikuwa na miili mikubwa(sio ukubwa zaidi, ni ule ukubwa unaopendeza), isipokuwa mmoja ndio alikuwa na mwili mdogo halafu mrefu.

Kiumri lazima walikuwa 27+

Sikuona mdada mweupe sana isipokuwa weupe wa kawaida.

Niliona mtu kama Jebra Kambole(kama unatumia Twitter utakuwa unamfahamu au Wakili aliyesimamiaga kesi ya Abdul Nondo), ingawa atakuwa sio yeye ila amefanana sana.

Tumsubiri Prok aje asahihishe haya maelezo
 


IMEISHA HIO... 😎

Ilipofika hapo ndipo mda ulipopata kazi. Jiandae kudaka mrija wa asali mkuu.
 
Mkuu unatoboa, ukikosa maswali wanakuuliza meng zaid ujue umewakosha
Angalau kila swali nililojibu naambullia hata nusu point aisee.

Nimesikia kwenye Afya wanauliza maswali hadi 7 ndio maana niliulizwa maswali mengi
 
Daahh, bado hatuwezi kuhitimisha hili.

Niliokuwa nao oral, wako bright, mimi maombi yangu angalau niingie kanzi data.

Nilikandwa mara 3 mfululizo.

Sasa hii golden chance naiombea niwe angalau kanzi data maana hizi written zinatua nguo sana
Kwani kuingia kwenye kanzidata ndo kupoje mkuu?

Nipo Dom chimbo nasikilizia kesho
 
Kwani kuingia kwenye kanzidata ndo kupoje mkuu?

Kuwekwa akiba ukiwa ushafaulu Oral, nafasi za kada yako zikipatikana unapangiwa kituo cha kazi.

Mfano wewe kama ni Accountancy, ukafaulu Oral ya Kesho ila ukakosa nafasi, utawekwa akiba nafasi ya Accountancy ikipatikana popote utapangiwa akale Asali huko
 
OK sawa nimeelewa mkuu.Ndo nimefika mida si mrefu hapa Dom ngoja nijiweke sawa hiyo kesho.Maombi yenu.Usingekuwa speed tungeonana
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚Umetoboa mzee amini haya maneno
 
Niliahirisha swali langu baada ya kuona wamenipa maswali mengi, zaidi ya 5. Nikajisemea ngoja niondoke zangu. Pia nilizingatia wenzangu nao waingie maana tulichoka kupigwa jua nje
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚Mimi ile juzi walivyomaliza kunikanda wakasema niseme chochote basi nikawasifiaaaaaa nakuwashukuru nikawaaga nikala kona
 
Uhakika mzee unapofanikiwa sehemu wafanye na wengine wafanikiwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…