Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Nimekuja tenaaa...
Nyie mnajifanya hamtaki mambo ya pdf wakt likitoka wakwanza kuchek😀 ...tumepiga paper lazima tuulizie placement...
Psrs wametunawisha, watupe msos😀
 
Jamani wale wa Oral...piteni humu
 
Mwifwa wewe ni legend kabisa. Endelea kutujaza imani kaka. Watu tusikate tamaa, ona huku ulipotoka.
 
Hata mimi, sikuwa nimeingia mtandaoni muda kweli. Nakuja kushika simu napigiwa na watu kunipongeza. Ikifika siku unatafutwa wewe kupongezwa. El marabiosh na Utawala2025 msivunjike mioyo. Mtapigiwa simu na watu kuwapongeza. Nina uhakika na hili.
 
Mi mjumbe tu wakuu. Hili nalo neno
 
Haya jamani....mi mjumbe tu. Tuishi humu
 
Hata mimi, sikuwa nimeingia mtandaoni muda kweli. Nakuja kushika simu napigiwa na watu kunipongeza. Ikifika siku unatafutwa wewe kupongezwa. El marabiosh na Utawala2025 msivunjike mioyo. Mtapigiwa simu na watu kuwapongeza. Nina uhakika na hili.
hivi nyie mlipatajepataje mbona mbinde hivi jamani au mlioga dawa khaa 🤣 🤣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…