Wamejua kutukomoautumishi wamesema mpaka tuchechemee ๐คฃ ๐คฃ ๐คฃ
kwaaakweliMaisha inabidi yaendelee tu ,hamna namna
anaweka hata la watu wawili ๐คฃ ๐คฃPale kwenye Placement...ikikaribia kuandika 'currently no placement'..IT anaweka ki PDF๐๐๐
Pole wa nyumbani tujiandae kwenda migiro huu mwaka lazima uvae sutiMkuu inakatisha tamaa sana aisee sijui kama wote wanapitia kama mm
Trust the processPale kwenye Placement...ikikaribia kuandika 'currently no placement'..IT anaweka ki PDF๐๐๐
Hunishindi mimi mkuu, nadalalia hadi vijana kupata ajira. Wangejua navyokesha kwenye hili jukwaa. Wewe acha tuMimi mwenzenu nishakuwa dalali mkomavu mtaani sasa hivi
Hahaha ๐คฃ ๐คฃ ๐คฃ mkuu status zinasomaje kwakoHunishindi mimi mkuu, nadalalia hadi vijana kupata ajira. Wangejua navyokesha kwenye hili jukwaa. Wewe acha tu
Ndio nasikilizia michongo. Nina RECEIVED 10 na SELECTED FOR ORAL 1Hahaha ๐คฃ ๐คฃ ๐คฃ mkuu status zinasomaje kwako
Kumi๐๐Ndio nasikilizia michongo. Nina RECEIVED 10 na SELECTED FOR ORAL 1
Andaa nauli ya kutoshaNdio nasikilizia michongo. Nina RECEIVED 10 na SELECTED FOR ORAL 1
Big up utumishi ni kuwakanda tu Amna namnaNdio nasikilizia michongo. Nina RECEIVED 10 na SELECTED FOR ORAL 1
Kama Kawa tupia vimuli muli tupate vibekwema eehhh
Daah Received 10!๐Maskani ni Migiro nini maana sio kwa minauli hiyoNdio nasikilizia michongo. Nina RECEIVED 10 na SELECTED FOR ORAL 1
Aipungui 500kAndaa nauli ya kutosha
Plus bajeti ya mishangaz maana dodoma kuna baridiAipungui 500k
Mazoezi matize mpira mpira acheze wakati ana subili placementsKuna wanaoptia zaidi yako mkuu, jipe moyo, all shall be well. Kuna mshkaji wangu huwa yuko taasisi yenye asali kinoma jana amegundulika ana tatizo la kisukari na kilikua kimeshaanza kuharibu figo zake. Jamaa hana raha tena ya kuishi.
Ukiwa tu mzima wa afya, ni bonge moja la baraka mkuu.