Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Mim mpk sasa nina received 28..oral moja alaf shortlist ya kwanza tu ni oral direct....
Nauli zinatumika sana itafikia mahali konda wa bus anakukariri anakuita staff unakaa mbele pale kwenye engine😀😀😀
Mkuuu amini lazima utoboe kati ya moja ya hizo lazima ukipiga back to back mpaka wasaili watachoka ata ka hujui we faulu written tu
 
Mim mpk sasa nina received 28..oral moja alaf shortlist ya kwanza tu ni oral direct....
Nauli zinatumika sana itafikia mahali konda wa bus anakukariri anakuita staff unakaa mbele pale kwenye engine😀😀😀
Ukipiga zote hizo mpaka oral afu ukikosa hata moja, aisee hapo itabidi urudi nyumbani kwa wazazi ukalambe mchanga
 
Katika Oral zote ya mwaka huu imetia fola.

Jamaa hawana muda wa kupeti peti kama tulivyozoea.

Ukijibu Point 3 unasema ufikirie wahsaenda swali linalofuata.

Wakali.,wako harsh.

Mengine tuwachie wao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…