Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Habari za mida hii
Ukiwa unatumia majina yafuatayo kwenye vyeti
Cheti cha form 4
Juma Said Juma
Cheti cha form 6
Juma Said Juma
Cheti cha chuo
Juma Said Juma
Nida
Juma Said Juma
Lakini cheti cha kuzaliwa
Juma Saidi Juma

Je kwenye usahili kwenye ukaguzi wa vyet naweza kuzuiwa kuingia kwenye usahili
 
Mkuu najiandaa na kujifua vyema sasa jana naangalia zile barua karibia zote sijaandika tarehe ya barua aisee nimevunjika moyo yaani nimefeli kabla ya pepa
Pole mkuu hakuna uzembe ata daktar kusahau tissue tumboni ila hakika utapita halitozingatiwa mkuu
 
UtAitw mkuu nenda na affidavit kwA uthibitisho kuwa ni ww
 
Mim mpk sasa nina received 28..oral moja alaf shortlist ya kwanza tu ni oral direct....
Nauli zinatumika sana itafikia mahali konda wa bus anakukariri anakuita staff unakaa mbele pale kwenye engineπŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
Inabidi utafute lishangazi pale Dodoma, maana mpaka hizo received unamaliza utakuwa umeshakijua kigogo πŸ˜€πŸ˜›
Hivi kama umesahau kuandika tarehe panga linaweza kukuhusu
Wanachoangalia ni address na signature yako. Jipange kwa usaili mkuu.
 
Inabidi utafute lishangazi pale Dodoma, maana mpaka hizo received unamaliza utakuwa umeshakijua kigogo πŸ˜€πŸ˜›

Wanachoangalia ni address na signature yako. Jipange kwa usaili mkuu.
Kama nihivyo itakuwa poa sana maana nishaona nishapuyanga hususan baada ya kuona ile screenshot ya mshikaji ilikuwa na makosa ya barua tupu
 
Mkuu asaivi tumekuwa marafiki nilitarajia jibu lililoshiba hatimae limekuja jibu jepesi kusoma hahahhah
Ah afu umesema hvy ndo nkakukumbuka ila Mm hua sina kawaida ya kumkariri mtu πŸ˜‚

Ujue date inajitegemea yenyewe, yn pale juu kuna address na tarehe, sasa kukosekana kwa trh cjui itakuaje.
Hapo n kuomba Mungu tuu wasizingatie hapo.
H n tofaut na yule mwngn, mana yeye aliandika kila kitu vzr ila alikosea kuweka address ya muajiri badala ya psrs, sasa n tofaut na ww mana yeye n ishu kubwa ila kwako sio ishu kubwa mana n trh tuu.
 
Hapa sawa mkuu ngoja niendelee kuwasoma wafu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…