pelius laurent
JF-Expert Member
- Oct 7, 2019
- 331
- 601
Mmmh na rangi nazo zipo kumbe🤣mbona unanifanya nirudi kwenye akaunti yangu 😁baada ya oral check rangi ya neno selected kwenye status! kama ni kijani hiyo ni clue ya asali, ila usiweke matumaini sana! kama bado nyeusi jipe moyo!
Hakuna kitu kama hicho, hiyo rangi ya kijani ipo kwa watu wote, kuna watu nawajua wanazo za kijana na bado kazi ile ile bado ikatangazwa kazi na wao kuachwa maana ake n kwamba hata hawakuwepo Database.baada ya oral check rangi ya neno selected kwenye status! kama ni kijani hiyo ni clue ya asali, ila usiweke matumaini sana! kama bado nyeusi jipe moyo!
Weka single file video zote na kama ni pdf pia weka single file then tuma zikiambatana na docoment zingine za academic na cvYn hizo video natuma kama vile namtumia mtu video wasap?
Toa ushahidi apa kina nani haoHakuna kitu kama hicho, hiyo rangi ya kijani ipo kwa watu wote, kuna watu nawajua wanazo za kijana na bado kazi ile ile bado ikatangazwa kazi na wao kuachwa maana ake n kwamba hata hawakuwepo Database.
Sijasema lazima apate! Na haipo kwa kila .mtu bali kwa waliofikia pass mark iliyopendekezwa. Ila ni kwamba wengi wanaoitwa oral huwa ni wakali na karibuni wote huifikia hiyo pass mark.Hakuna kitu kama hicho, hiyo rangi ya kijani ipo kwa watu wote, kuna watu nawajua wanazo za kijana na bado kazi ile ile bado ikatangazwa kazi na wao kuachwa maana ake n kwamba hata hawakuwepo Database.
Sasa kama upo database c hapo lazima uitwe kazin na kama hauko kwenye database maana ake c ulifeli oral au?Sijasema lazima apate! Na haipo kwa kila .mtu bali kwa waliofikia pass mark iliyopendekezwa. Ila ni kwamba wengi wanaoitwa oral huwa ni wakali na karibuni wote huifikia hiyo pass mark.
Sijasema lazima apate! Na haipo kwa kila .mtu bali kwa waliofikia pass mark iliyopendekezwa. Ila ni kwamba wengi wanaoitwa oral huwa ni wakali na karibuni wote huifikia hiyo pass mark.
2022 nliwahi kuona kwenye simu ya mshikaji akiwa amemfanya mzee wake Application ya masters na post ya ajira ikarudiwa.Toa ushahidi apa kina nani hao
Iv TCRA na eGA wapi kumenona kimaokoto?aisee hiyo interview mtajaza hall 😀 😀
TCRA na eGA wapi kuko vizuri kimaokoto?Nikiingia tcra nahamia mikocheni kabisa
Je naweza kutumia link ya google photos?Weka single file video zote na kama ni pdf pia weka single file then tuma zikiambatana na docoment zingine za academic na cv
Naskia TCRATCRA na eGA wapi kuko vizuri kimaokoto?
Maisha unakuwa umeyapatia au sio. TCRA wataita usaili soon, watu wa IT jipangeniNikiingia tcra nahamia mikocheni kabisa
Ukiwa jobless popote kambi, hizo taasisi kwa watu wa IT ndio zinaongoza kwa maokoto. Wapo vizuri sanaTCRA na eGA wapi kuko vizuri kimaokoto?
Katika nafasi ya programmer/system developer TCRA naisi kama vile azitokua na overwork nyingi kama upande eGA, TCRA kazi za system development naona zitakua chache na ndo inaweza pelekea eGA wakampiga gape mtu wa system development/programmer wa TCRA, au ikoje hii?Naskia TCRA
mhh hapo mtihaniTCRA na eGA wapi kuko vizuri kimaokoto?
Maisha unakuwa umeyapatia au sio. TCRA wataita usaili soon, watu wa IT jipangeni
Yaan mtu Unajikuta unapiga msuri kuliko ulikua unaupiga UE.Maisha unakuwa umeyapatia au sio. TCRA wataita usaili soon, watu wa IT jipangeni
Sidhani kiukweli utumishi wamepunguza kasi ya kuita watu kazini sijaelewa kwanini imekuwa hivyoIT anasainisha pdf...badae kidogo mambo yatakuwa muswano