pelius laurent
JF-Expert Member
- Oct 7, 2019
- 331
- 601
Na hiyo Mukiza iliyokwenye cheti cha kuzaliwa hata nikiiacha haina madhara? Maana nilitaka na yenyewe nikaibadilishe iwe M tuKalipie
kalipie NIDA hiyo wabadilishe iwe Laurent
Umeingia kwenye hy system ukaona jinsi ilivyo?
Bwana T pain mdau wa maendeleo na ustawi wa vijanandio ninazo nataka nikufire.kuuuma la mamaaaaaaaaaaako lina mapembe
Mimi binafsi uwaga nikifanya oral na nisipoitwa wakaitwa mwenzangu kazini naesabug kua nimeshindwa total na nianze upya, database siiwekagi akirini kabisaa kwa mambo kama aya, unakuta uko kwenye database lakini post yenye vigezo vile vile kwa kada uliyoomba awali na ikakufanya uingie kwenye database ila wanatangaza upya, hapo unajiuliza mchakato wa database ukoje na haupati majibu.Hivi Utumishi mbona Hawatoi sehemu ya placement na wana Database ya kutosha
Upo kama mm, hakuna sababu ya kujitia stress kisa databaseMimi binafsi uwaga nikifanya oral na nisipoitwa wakaitwa mwenzangu kazini naesabug kua nimeshindwa total na nianze upya, database siiwekagi akirini kabisaa kwa mambo kama aya, unakuta uko kwenye database lakini post yenye vigezo vile vile kwa kada uliyoomba awali na ikakufanya uingie kwenye database ila wanatangaza upya, hapo unajiuliza mchakato wa database ukoje na haupati majibu.
Uzi unapitia changamoto za kawaidaJobless nimekaa Geto then najishauri nije kwenye Uzi wetu labda nitakuta PDF mwisho na kutana na matusi nimejisikia vibaya kweli
Serikali ichukulie swala la ajira kua ni insue serious maana kua jobless+mikando+majuku yaliyotuzunguka alafu ukiangalia age inazid kusonga ndo yanatokea yoote ayaa.Jobless nimekaa Geto then najishauri nije kwenye Uzi wetu labda nitakuta PDF mwisho na kutana na matusi nimejisikia vibaya kweli
Kwanini kaka marabiosh.dahh leo nimecheka hadi nimesahau kama sina kaziππ
Nouma sanaHIki kigezo cha umri kwa baadhi ya taasisi kipitiwe upya....naona TFS na kuna kigezo cha umri
nimecheka tu jinsi mnavyotukanana na uyo msengeKwanini kaka marabiosh.
oral si uliruka nayo fresh lakiniKwanini kaka marabiosh.