Utawala2025
JF-Expert Member
- Oct 20, 2023
- 1,144
- 2,755
Mapema sana Halfu kituo chetu hatukua wengi kiivyo kakaoral si uliruka nayo fresh lakini
Achana nae ukute ndo IT wa utumishi analeta ushoga wake hapanimecheka tu jinsi mnavyotukanana na uyo msenge
dah bora wewe unazidi kuongeza probabilityMapema sana Halfu kituo chetu hatukua wengi kiivyo kaka
Halfu nashangaa ndo nazidi kukata tamaadah bora wewe unazidi kuongeza probability
Kwann?Halfu nashangaa ndo nazidi kukata tamaa
Sio fair kabisa kwa jobless imagine kwa tuliomaliza miaka mitano nyuma tunashindwa kuomba eti sababu ya umriHIki kigezo cha umri kwa baadhi ya taasisi kipitiwe upya....naona TFS na kuna kigezo cha umri
Sasa et programmer wanaweka kigezo cha umriSio fair kabisa kwa jobless imagine kwa tuliomaliza miaka mitano nyuma tunashindwa kuomba eti sababu ya umri
hii uhakika asilimia 95 labda zile taasisi zako ulizozitaka zikuwahi..🤣🤣Halfu nashangaa ndo nazidi kukata tamaa
Hii post iko wapi mbona sijaiona?Sasa et programmer wanaweka kigezo cha umri
Hii post iko wapi mbona sijaiona?
utumishi watatutoa damu aisee kama vipi tuapply majumbani mwetu kazi za ndani tu 🤣 🤣Sasa et programmer wanaweka kigezo cha umri
Dah! Jana wakati naenda kibaruani kwangu wakati napita ile njia ya ubungo nilipofika usawa wa lile jengo la TCRA nikajikuta naangalia lile jengo weee mwisho nikajisemea mwenye hizi ni dalili mbaya za afya ya akiri 😂😂😂utumishi watatutoa damu aisee kama vipi tuapply majumbani mwetu kazi za ndani tu 🤣 🤣
Haya Umesikika.Ukiona huelewi basi haikuhusu.
Fact mzee hali teteUtumishi "hili joto mnalotupitisha jobless ni zaidi ya 100°c alafu mkumbuke Umri na kwenye Familia ndo hivyo wanakuangalia jobless .....
Tupeni Faraja jobless tuliopambana mpaka hatua ya mwisho katika michakato yenu ya Ukandaji ......
Tunaweza kuwa tunasubiri kumbe interns wameshapewa mkataba kimya kimya....Utumishi "hili joto mnalotupitisha jobless ni zaidi ya 100°c alafu mkumbuke Umri na kwenye Familia ndo hivyo wanakuangalia jobless .....
Tupeni Faraja jobless tuliopambana mpaka hatua ya mwisho katika michakato yenu ya Ukandaji ......
Hii mpka unapata kazi basi unajikuta umepata na vidonda vya tumbo kwa ajiri ya stress na stress zinazid kwa tulio kwenye database na unaona siku zinakata alafu mambo bado kimyaaa tu..Utumishi "hili joto mnalotupitisha jobless ni zaidi ya 100°c alafu mkumbuke Umri na kwenye Familia ndo hivyo wanakuangalia jobless .....
Tupeni Faraja jobless tuliopambana mpaka hatua ya mwisho katika michakato yenu ya Ukandaji ......
Tunaweza kuwa tunasubiri kumbe interns wameshapewa mkataba kimya kimya....
Maana vigogo wengi wanaforce hili jambo litokee...
Karata vigogo waliocheza mwaka jana kwa Mama kupigania intern(watoto wao) waingie kwenye system bila interview( TRA NA NSSF )wamefanikiwa hilo lengo lao mapema sanaa.....Na wanalipambania kweli kweli si unaona kwenye sector za ulinzi na usalama washatoa kile kigezo cha kua na cheti cha jkt ili watoto wao mayai mayai waliokimbia mziki wa kwenda jkt wapate nao nafasi. Kwahyo hata ili kuna namna wanalipambania sana..