Hao kama walivyokutana walipeana namba na kuunga wasap group, sasa hv watakuwa wanachekana tuu 😂Hii mbili ya El marabiosh halafu ile tatu ya Rahsully , na hapo walikuwa wamekaa wanaibiana majibu 🤣🤣🤣
Mimi ndio maana fedheha kama hizi nishazikataa , nikagoma kuomba
Nikaona niendelee na udalali mtaani
Cheti cha kuzaliwa kikiwa kinasoma Johnpaul Anthony MafweleWale tulioitwa oral ya MJNUAT kesho na waliopiga leo karibuni mnipe uzoefu wenu, nisije choma nauli mpaka moro bure
Kaka ulipiga usaili uo?Ni namba za viatu mpaka basi , ninyi waalimu manesi na maeendeleo ya jamii msicheke aisee
Huyu mwenye mbili ana GPA ya 4.6
Maanina
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
Masuala haya tushayamaliza kuyaelezea humu.Cheti cha kuzaliwa kikiwa kinasoma Johnpaul Anthony Mafwele
Halafu vyeti vya taaluma na Nida vikawa vinasoma John Anthony Mafwele. Ni tatizo?
Tatizo hilo...nenda RITA watoe hyo paulCheti cha kuzaliwa kikiwa kinasoma Johnpaul Anthony Mafwele
Halafu vyeti vya taaluma na Nida vikawa vinasoma John Anthony Mafwele. Ni tatizo?
Kazi Ipo.....Lengo ni kupunguza utitiri wa Watu kukaa database ndo gear namba moja imeaza kwa Taasisi yataaza kutokea mikeka kama hiyo mbeleni tutegemee hilo .....Ndugu wakandaji wa PSRS punguzeni hasira na jobless na sisi tuna familia zinatutegemea jamani. Sio kwa matokeo haya. Yaani mpo radhi asipate asali mtu yeyote. SIJAPENDAView attachment 3098877
Hamna , sikuomba hataKaka ulipiga usaili uo?
Hii hasa hasa upande wa radiology ndo ilikuwa hivyo,Watu wa afya karibu mikoa yote ratio ya kupambania nafasi 1 iliendana ,mfano kuna mikoa nafasi 1 watu 4 na mingine watu 5 mpaka 6 adi 7 yani hapa ndio kivumbi. Competition kubwa sana uko mikoani
Hao kama walivyokutana walipeana namba na kuunga wasap group, sasa hv watakuwa wanachekana tuu 😂
Mikeka imekufa aisee.
Hizo ajira zenyewe wanazotangaza sasa iv pdf mwakani.
Kiukweli utumishi wamepwaya wametodorora hawana mpya
Kwani hawana DatabaseKatibu mpya anatoa mda wa kutosha wa kujiandaa vijana, pigeni misuri..
Soma tangazo la ajira vizuri, utaelewa vigezo vya kuomba nafasi iliyotajwa.Naomba kuuliza wana JF, eti nikiwa na jkt na form 4 pekee nawezakuomba nafasi za TFS??
Tutegemee pdf za kutosha sasa, kazi iendelee naona itakuwa ni mwendo wa bandika bandua, pdf juu ya pdf
Tuombe hivyo...aanze kutoa kesho pdf 2Tutegemee pdf za kutosha sasa, kazi iendelee naona itakuwa ni mwendo wa bandika bandua, pdf juu ya pdf