🤣🤣🤣🤣🤣🤣lohHii mbili ya El marabiosh halafu ile tatu ya Rahsully , na hapo walikuwa wamekaa wanaibiana majibu 🤣🤣🤣
Mimi ndio maana fedheha kama hizi nishazikataa , nikagoma kuomba
Nikaona niendelee na udalali mtaani
🤣🤣🤣🤣Engineer nilikua sina bando nyieee imekuaje jmn ni kweli hao ni umeme?? Kichwa changu kinaniuma jmn sa ntatokaje tokaje kwa staili iyoElmarabiosh na mwenzako Rahsully mmeona mikando ya Electrical Engineers hukoo , soma hiyooo Engineers
Hatari mamaee
Tabasamu kubwa sanaaa....Jamaa ndo limeripoti leo Ila PDF ya Tar 10 ilisainiwa na yeye.
Aisee kazi kweli kweli.
Ina maana hakuna aliyekuwa amekaimuView attachment 3099703
Soma job descriptions za Forest guards nazan unaweza apply mkuu, kila la kheriNaomba kuuliza wana JF, eti nikiwa na jkt na form 4 pekee nawezakuomba nafasi za TFS??
Hali mbaya Engineer , Utumishi Wana hasira na Electrical Engineers ,tangia tulivyowatukana kwemye zile interviews za MDA kwa kuwaambia wao ni vilaza na hawajui hata kuongea English fluently🤣🤣🤣🤣Engineer nilikua sina bando nyieee imekuaje jmn ni kweli hao ni umeme?? Kichwa changu kinaniuma jmn sa ntatokaje tokaje kwa staili iyo
Naona umeamua kumpa mtu moyo kwenye hakuna.Soma job descriptions za Forest guards nazan unaweza apply mkuu, kila la kheri
Mkuu nimemjibu kitu ambacho nina uhakika nacho , may be tu umri uwe umeshamtupa lakin vigezo vingine anavyoNaona umeamua kumpa mtu moyo kwenye hakuna.
Sio kweli mkuu mfumo hautoi majibu hapo kwa hapo.
Sio kweli mkuu mfumo hautoi majibu hapo kwa hapo.
😂😂😂😂tutakoma mbona,ilaa tutatoboaa alipangalo Mungu hakuna wa kulitengua,tuamini hili EngineerHali mbaya Engineer , Utumishi Wana hasira na Electrical Engineers ,tangia tulivyowatukana kwemye zile interviews za MDA kwa kuwaambia wao ni vilaza na hawajui hata kuongea English fluently
Walimu wanakuja kaa hapo hapo....mi nashindwa kujibu naishia kucheka tuIvi ikitokea umetuma barua ya maombi Kisha kwenye kipengele Cha kusaini ukaweka pembeni na sio katika ya ukurasa, JE inaweza pelekea usiitwe kwenye usahili?
Walimu wanakuja kaa hapo hapo....mi nashindwa kujibu naishia kucheka tu
Official letter sain inakaa katikati, sasa hy yako cjui n aina gn ya baruaIvi ikitokea umetuma barua ya maombi Kisha kwenye kipengele Cha kusaini ukaweka pembeni na sio katika ya ukurasa, JE inaweza pelekea usiitwe kwenye usahili?
Muhtasari ndio huwa una sahihi ya pembeni. BTW Utumishi wanachoangalia ni barua kama umesaini au la, mambo ya format walimu watakuja kutoa ufafanuziOfficial letter sain inakaa katikati, sasa hy yako cjui n aina gn ya barua
Dah, hawa jamaa ukiwafuatilia unakuwa na addiction kama teja, yaani roho inaenda juu juu kama vile upo ICU.Tukasome hata jarida
hii addiction kali sana. u jobless ni zaidi ya matesoDah, hawa jamaa ukiwafuatilia unakuwa na addiction kama teja, yaani roho inaenda juu juu kama vile upo ICU.
Ukitaka kuwa na amani usifuatilie utumishi.Ila utumishi sio Kwa kututesa uku kaaah[emoji24]