Katibu kalala labda wiki ijayoLeo kitu kinaanguka uko...PDF kama 3 hivi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Katibu kalala labda wiki ijayoLeo kitu kinaanguka uko...PDF kama 3 hivi
Huyu katibu yupo kikazi zaidi, naona yupo vizuri kwahyo tutarajie haki itaendelea kutendeka kama awaliKatibu kalala labda wiki ijayo
Hao bado sana deadline yenyewe trh 30 sepWalimu wa bookkeeping na commerce hizo ajira watawafanyisha lini usaili.
Mm naona kama Majina wa 10 huko
Yaani katibu akili yake iko kwa walimu wa database tutulie kidogoKatibu bado anakagua database
Hawa watafanyishwa wote serikali haiwezi kufanyisha interview mbili za walimu nchi nzimaHao bado sana deadline yenyewe trh 30 sep
Utumishi wamepwaya.Huyu katibu yupo kikazi zaidi, naona yupo vizuri kwahyo tutarajie haki itaendelea kutendeka kama awali
Walimu wanadekezwa kama watoto wa mwisho kwenye familia. Wengine tunapotezewaYaani katibu akili yake iko kwa walimu wa database tutulie kidogo
Kwa hyo Hawa itabidi wawasubiri wa bookkeeping na commerce?Hawa watafanyishwa wote serikali haiwezi kufanyisha interview mbili za walimu nchi nzima
Hali mbaya Engineer , Yaani Engineer mzima analambishwa mbili ya nguvu ,aisee😆😆😆😆🤣🤣 na wamegoma kuzima kimulimuli sasa
Ya kama Deadline Tar 30 inamaana mwanzoni mwa wiki ya mwezi wa 12 watu wataanza usailiKwa hyo Hawa itabidi wawasubiri wa bookkeeping na commerce?
Mwezi wa 12 tena? Wakati huu ni WA Tisa mkuuYa kama Deadline Tar 30 inamaana mwanzoni mwa wiki ya mwezi wa 12 watu wataanza usaili
Serikali haina Haraka wewe ndo Una Haraka.Mwezi wa 12 tena? Wakati huu ni WA Tisa mkuu
'selected for Oral' sio mchezo...ukiona mtu anaulizia pdf muache anajua mateso ya kupita oralHali mbaya Engineer , Yaani Engineer mzima analambishwa mbili ya nguvu ,aisee😆😆😆😆
Acha tuone maana Nina received yao moja ya ualimu wa uvuvi zile nafasi 10 . Japokuwa sijasomea ualimu😀Serikali haina Haraka wewe ndo Una Haraka.
Calm down mkuu. Muda sio mrefu hawa last born watamwagiwa upupu na PSRS yaani watajikuna hadi kila mtaa watajua tu kuwa walimu wamekandwa.Walimu wanadekezwa kama watoto wa mwisho kwenye familia. Wengine tunapotezewa
pitia thread hii za nyuma utapata majibu...!!!!Kuna ambao wameandikiwa not selected baada ya oral utumishi!?