Mbaga Jr
JF-Expert Member
- May 28, 2018
- 29,028
- 69,666
Wapi huko umeona mana mfumo bado haupatikanikuna mitangangazo ya kuitwa interview kama yote🤣🤣
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wapi huko umeona mana mfumo bado haupatikanikuna mitangangazo ya kuitwa interview kama yote🤣🤣
ingia web halafu ya halmashauri sasa 🤣 🤣Wapi huko umeona mana mfumo bado haupatikani
Karibu Sana Katibu naamini mchakato utakuwa mzuri na placement zitatoka kwa wakati, jobless tunaimani na nyieKatibu wa Ofisi ya Rais, Sekretarieti ya Ajira Katika Utumishi wa Umma Bw.Mick Lutechura Kiliba amewashukuru watumishi wa ofisi hiyo kwa kumkaribisha kwa mapokezi mazuri.
Bw.Kiliba ametoa shukrani hizo alipokutana na watumishi hao kwa mara ya kwanza tangu alipoteuliwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan kuongoza ofisi hiyo.
"Nawashukuru sana kwa mapokezi makubwa tangu niliporipoti na kupokelewa na Menejimenti na leo hii ninyi watumishi mmenipokea vizuri sana" alisema.
Katika hatua nyingine Katibu wa Sekretarieti ya Ajira amepokea mrejesho kutoka kwa watumishi kuhusu utekelezaji wa zoezi la usaili kwa kada za afya na kuwapongeza watumishi hao kwa kusimamia zoezi hilo kwa weledi.
"Nawapongeza sana kwa kazi kubwa na nzuri ya kusimamia zoezi la usaili kwa kada za afya ambalo limefanyika vizuri nchi nzima".
Aidha, Bw.Kiliba amewataka watumishi hao kuzifanyia kazi changamoto zilizojitokeza Katika zoezi hilo ili kuboresha zaidi uendeshaji wa mchakato wa ajira.
"Kuna zoezi kubwa la usaili kwa kada za ualimu linakuja hivyo tunapaswa kutatua changamoto zilizojitokeza katika usaili uliotangulia ili kufanya vizuri zaidi" alisema.
Bw.Kiliba amewataka watumishi wa Sekretarieti ya Ajira kuendelea kutekeleza majukumu yao kwa mujibu wa sheria.
"Ajira ni eneo nyeti sana na vyuo vinazalisha wahitimu wengi ambao wanatarajia kupata ajira serikalini hivyo tujitahidi kutekeleza majukumu yetu kwa weledi wa hali ya juu na niwaombe tuizingatie ile misingi ambayo tumejiwekea katika utendaji kazi wetu" alisisitiza
Mbona kwangu sioni web na kwenye app n under maintenance?ingia web halafu ya halmashauri sasa 🤣 🤣
web inafungukaMbona kwangu sioni web na kwenye app n under maintenance?
🤣🤣🤣utumishi acheni ujinga
Unatukana mamba kabla hujavuka mtoutumishi acheni ujinga
sasa placement hawatoi wanamjazia nan matangazoUnatukana mamba kabla hujavuka mto
Hapana kwani upojeUnajua mshahara wake lakini ?
🤣🤣🤣🤣🤣🤣utumishi acheni ujinga
wametugeuza bibi zao wanatuchezea wanavyotaka mambo gani sasa yale.mtu ukifungua web ghafla unasema waao kumbe maakina kakonko na ileje🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Laki na nusu(150000)Hapana kwani upoje
Walimu ndio wapiga kura...lazima serikali iwajali maana uchaguz umefika..tuvumilie tu
Wanakwama sanawametugeuza bibi zao wanatuchezea wanavyotaka mambo gani sasa yale.mtu ukifungua web ghafla unasema waao kumbe maakina kakonko na ileje
319000 mkuuLaki na nusu(150000)
washafuliaWakuu Tiwasamehe watu.
Nadhani sehemu ya PLACEMENT WAMEISAHAU.
Tuendelee kukesha kwa mwamposaView attachment 3101329