captain sparrow
JF-Expert Member
- Apr 11, 2016
- 949
- 2,061
Hongera Sana mkuu kila la kheri katika majukumu yako mapyaWakuu, kumbe majibu ya saili za chuo wanatangaza kwenye page za chuoni, nilkuwa sijui aisee...
Basi ndugu zangu msikate tamaa, mimi nimeaga ujobless naenda kufundisha chuo...
Hongera sana kaka, Usimsahau Mwenyezi Mungu huko🤗 na ukawe mtumishi mwema kakaaWakuu, kumbe majibu ya saili za chuo wanatangaza kwenye page za chuoni, nilkuwa sijui aisee...
Basi ndugu zangu msikate tamaa, mimi nimeaga ujobless naenda kufundisha chuo...
Hongera mkuu ni chuo gani umelamba asaliWakuu, kumbe majibu ya saili za chuo wanatangaza kwenye page za chuoni, nilkuwa sijui aisee...
Basi ndugu zangu msikate tamaa, mimi nimeaga ujobless naenda kufundisha chuo...
AminaHongera sana kaka, Usimsahau Mwenyezi Mungu huko🤗 na ukawe mtumishi mwema kakaa
duuh aisee hongera sana.ulipataje habari sasa..?Wakuu, kumbe majibu ya saili za chuo wanatangaza kwenye page za chuoni, nilkuwa sijui aisee...
Basi ndugu zangu msikate tamaa, mimi nimeaga ujobless naenda kufundisha chuo...
Nimepigiwa simu alaf mwisho wik ijayo...naandaa safar hapaduuh aisee hongera sana.ulipataje habari sasa..?
ok wahi sasa wasije kuunda zengweNimepigiwa simu alaf mwisho wik ijayo...naandaa safar hapa
Hongera sana,mkuuWakuu, kumbe majibu ya saili za chuo wanatangaza kwenye page za chuoni, nilkuwa sijui aisee...
Basi ndugu zangu msikate tamaa, mimi nimeaga ujobless naenda kufundisha chuo...
Re-advertiseok wahi sasa wasije kuunda zengwe
🤣 🤣 hawakawii kuitisha mkando upyaRe-advertise
Kwani wenzetu mkiingia kwenye App ya Psrs mnakutana na under maintanance?🤣 🤣 hawakawii kuitisha mkando upya
YeahKwani wenzetu mkiingia kwenye App ya Psrs mnakutana na under maintanance?
kila la kheriWakuu, kumbe majibu ya saili za chuo wanatangaza kwenye page za chuoni, nilkuwa sijui aisee...
Basi ndugu zangu msikate tamaa, mimi nimeaga ujobless naenda kufundisha chuo...
wanaifanyia marekebisho nadhanKwani wenzetu mkiingia kwenye App ya Psrs mnakutana na under maintanance?
wanaifanyia marekebisho nadhan
Mkuu naamini Ipo siku Tutafikiwa tuMadogo wamemaliza juzi vyuo wameukuta huu uzi wanalamba asali ,aisee
Kwa hiyo mimi ,wewe ,captain sparrow ,Tpain na Utawala ndio majobless sugu humu au sio
Kaka hongera Sana ukawe mtumishi mwema🙏🙏Asanteni kwa wote mlionipa hongera, ni ngumu kuwaquote wote ila nawaombea kwa Mungu nanyi mpate.
jamaa wanapata ajira kama wanamsukuma mrevi vile.tusipoangalia tutakua wafanyausafi wa uzi.. 🤣 🤣 🤣Madogo wamemaliza juzi vyuo wameukuta huu uzi wanalamba asali ,aisee
Kwa hiyo mimi ,wewe ,captain sparrow ,Tpain na Utawala ndio majobless sugu humu au sio
Duh wakuu, mbona mnaondoka wote c nitabaki mwnyw humu 😭Wakuu, kumbe majibu ya saili za chuo wanatangaza kwenye page za chuoni, nilkuwa sijui aisee...
Basi ndugu zangu msikate tamaa, mimi nimeaga ujobless naenda kufundisha chuo...