Utafikiwa tu mkuuDuh wakuu, mbona mnaondoka wote c nitabaki mwnyw humu π
Ongera mzee mwenzangu wa status nilikwambia huwa azidanganyiUtafikiwa tu mkuu
Hiv ni Electrical Engineer sioWakuu, kumbe majibu ya saili za chuo wanatangaza kwenye page za chuoni, nilkuwa sijui aisee...
Basi ndugu zangu msikate tamaa, mimi nimeaga ujobless naenda kufundisha chuo...
Hongera Sana. Tutorial AssistantWakuu, kumbe majibu ya saili za chuo wanatangaza kwenye page za chuoni, nilkuwa sijui aisee...
Basi ndugu zangu msikate tamaa, mimi nimeaga ujobless naenda kufundisha chuo...
HapanaHiv ni Electrical Engineer sio
ICTHapana
Hahaaaa au makuli wa uzi ππππjamaa wanapata ajira kama wanamsukuma mrevi vile.tusipoangalia tutakua wafanyausafi wa uzi.. π€£ π€£ π€£
Aisee , ukafundishe chuo na zile namba za viatu ? π€£π€£π€£π€£Hiv ni Electrical Engineer sio
Duh wakuu, mbona mnaondoka wote c nitabaki mwnyw humu π
Nmesomea diploma in Tv and video production πKwa nini wewe mwanetu umesomea nini?
By the way hakuna tajiri aliyeajiriwa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nmesomea diploma in Tv and video production [emoji24]
We acha tuu ndugu yangu, imagine serikalini nasubir kuajiriwa TBC tuu π anyway nna selected for oral yao moja niliyofanya Februari na nna received yao moja naisubir.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Re-advertise
Madogo wamemaliza juzi vyuo wameukuta huu uzi wanalamba asali ,aisee
Kwa hiyo mimi ,wewe ,captain sparrow ,Tpain na Utawala ndio majobless sugu humu au sio
Hongera sana mkuu. Katimize majukumu yako kwa welediWakuu, kumbe majibu ya saili za chuo wanatangaza kwenye page za chuoni, nilkuwa sijui aisee...
Basi ndugu zangu msikate tamaa, mimi nimeaga ujobless naenda kufundisha chuo...
Mh kumbe na ww hujapata bado?!We acha tuu ndugu yangu, imagine serikalini nasubir kuajiriwa TBC tuu π anyway nna selected for oral yao moja niliyofanya Februari na nna received yao moja naisubir.