Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Hiv ni Electrical Engineer sio
Aisee , ukafundishe chuo na zile namba za viatu ? 🀣🀣🀣🀣
Unawajua utumishi vizuri lakini ?
Ni mwendo wa Re-advertised tu.
Kha ! Ila Utumishi , ile tatu na mbili kwa kweli sijapenda , ule ni udhalilishaji .
Naenda kufungua kesi mahakamani kuwadai utumishi fidia ya bilioni , siwezi kula mbili mimi ,mtu mzima Engineer na masharubu kwenye mashavu halafu hawa Kenge wanipe marks mbili , no way ! πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„
Wameharibu saikolojia yangu na heshima pia.
Electrical engineers humu ni mimi ,wewe na Marabiosh .
Mzima lakini Rahsully ?
Kimya sana msuli sana nini wa kwenda kupambana na wakuda TAA na Temesa ?
 
Ila kusema ukweli haya majamaa ya utumishi yanatunyoosha mzee , hivi sisi huwa hata tuna database kweli fani yetu hii ninyi wazee Rahsully na El marabiosh ?
Mimi taa nyekundu ishawaka kichwani aisee ,maana si kwa kusubiri huku ,majamaa yanatuchunia sana .
Yaani kwa hii rate ya Placement moja kila baada ya pdf kumi ,aisee hii sio kabisa , Mungu afanye miracle tu aisee ..,la sivyo hali mbaya mno .
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…