Ndio ndio mkuuMh kumbe na ww hujapata bado?!
Nenda jukwaa husika.Wakuu naombeni odds za uhakika nipate nauli ya kwenda kwenye usahili
Tulibishanaga sana kuhusu interview za afya hatimae tumefanyaNdio ndio mkuu
Na bado za waalimuTulibishanaga sana kuhusu interview za afya hatimae tumefanya
Sawa wasicheleshe tu post maana naskia mwakani hakuna ajira zitakazotangazwaNa bado za waalimu
At least walimj wamepata nafasi ya kujiandaa zaid kuliko afya muda huu wautumie kujiandaa vzr maana mtihani ni fumboNa bado za waalimu
π€π€π€π€At least walimj wamepata nafasi ya kujiandaa zaid kuliko afya muda huu wautumie kujiandaa vzr maana mtihani ni fumbo
Ila kusema ukweli haya majamaa ya utumishi yanatunyoosha mzee , hivi sisi huwa hata tuna database kweli fani yetu hii ninyi wazee Rahsully na El marabiosh ?
Mimi taa nyekundu ishawaka kichwani aisee ,maana si kwa kusubiri huku ,majamaa yanatuchunia sana .
Yaani kwa hii rate ya Placement moja kila baada ya pdf kumi ,aisee hii sio kabisa , Mungu afanye miracle tu aisee ..,la sivyo hali mbaya mno .
Kwann wasiajiri au ndo mfumo wadatabaseSawa wasicheleshe tu post maana naskia mwakani hakuna ajira zitakazotangazwa
Nikadhani kuna new pdf,,,,ππππ
Samia atakuwa kapita uraisi kampeni zimeishaKwann wasiajiri au ndo mfumo wadatabase
Kwann usiombe tv zingine tuWe acha tuu ndugu yangu, imagine serikalini nasubir kuajiriwa TBC tuu π anyway nna selected for oral yao moja niliyofanya Februari na nna received yao moja naisubir.
Kabla ya mwisho wa mwezi wa kumiπ€π€π€π€π€
π€π€π€π€
Hivi kwani tetesi zinasemaje PDF la afya?
Angesafisha Database yote kwa kibali cha mwaka huu alichotoa kuliko kinachofanyika sasa ni zaidi ya mateso tunayopita.....Samia atakuwa kapita uraisi kampeni zimeisha
Who cares mradi yakwao yanawanyookeaAngesafisha Database yote kwa kibali cha mwaka huu alichotoa kuliko kinachofanyika sasa ni zaidi ya mateso tunayopita.....
Kuna Tv nipo nazugazugaKwann usiombe tv zingine tu
Na bado watakuja kulia wametolewa maswali ya shule ya msingAt least walimj wamepata nafasi ya kujiandaa zaid kuliko afya muda huu wautumie kujiandaa vzr maana mtihani ni fumbo
Wiki mbili zinatosha kabisa kujiandaa watumie huu muda sisi tulipewa siku nneNa bado watakuja kulia wametolewa maswali ya shule ya msing