Nimejumuika kwenye mjumuiko wa wasugua benchi kakaNini kimetokea kaka ?
Ndio ndio mkuuKumekucha jamani
Kushinda na web ya utumishiNdio ndio mkuu
Web yenyew haifunguki au sjui kwangu tukuna pdf uko
Web yenyew haifunguki au sjui kwangu tu
Oyaa 😀kuna pdf uko
hata hivyo hakuna jipya.wameongeza katangazo ka halmashauri ya kigomaWeb yenyew haifunguki au sjui kwangu tu
vp umeliona jina lako kwenye pdf la leoOyaa 😀
Kuna nn Mimi web yangu haifunguki cjui shda nnwale wa tbs kumekucha uko
tangazo la kaziKuna nn Mimi web yangu haifunguki cjui shda nn
Academician mkuuBora hata ninyi mnaona kozi zenu zinatajwa kwenye matangazo ya Ajira. Kuna sisi miamba tumesoma Bachelor of science in Physics tushasahau mpaka kama kuna kitu kinaitwa Ajira.
Hiyo sio kozi ya ualimu mkuu.Academician mkuu
Ndio si ukawe hata tutor, lecturer, au assistant lkn tofauti na hapo huna tofauti na mtu aliesomea history😂😂😂Hiyo sio kozi ya ualimu mkuu.
Niliikosa hii, hongera sana, wewe ni miongoni mwa wengi ninao waombea kheri humu ndani.Wakuu
Nimelamba asali nashukuru sana kwa michango yenu yote umu ndani
Status selected for oral both web and app
Safari haikuwa rahisi niliingia mara ya kwanza oral nilikandwa ila hii ya pili nimetoboa
Mungu mwm.