Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

P.O.Box 2320 sio 2513
Pili matangazo mengi ya chuo..address ni Vice chancellor japo sometimes hawajal sana mkiwa wachache...lkn hapo ww ni hyo box
Asante mkuu, nimeona kumbe n mm mwnyw nilikosea, dah huyu mtu nikimwambia atalalamika sana Aisee. Nashukuru Mungu hizo za waalimu zipo sawa mana ndio alikuwa anazitaka sana kuliko hizo nyingine.
 
P.O.Box 2320 sio 2513
Pili matangazo mengi ya chuo..address ni Vice chancellor japo sometimes hawajal sana mkiwa wachache...lkn hapo ww ni hyo box
Eh bhana eee
Nmeiangalia meseji hapa, yeye yupo kijijini hvy hana access ya internet hvy nilimwambia aandike barua afu anitumie kama text ili mm nifanye copy & paste kumbe yeye ndio alikosea na mm kwa bahati mbaya sikuwa makini hvy nika-paste kama ilivyo.
 
Bas pia kuna vitu wanavitaka sio hio tu
Almost barua zote zinafanana hadi hizo za waalimu ila nmeiangalia zote nimeona n hizo mbili tuu ndo nmekosea hapo kwenye p. O. Box ila zingine zipo sawa
 
Almost barua zote zinafanana hadi hizo za waalimu ila nmeiangalia zote nimeona n hizo mbili tuu ndo nmekosea hapo kwenye p. O. Box ila zingine zipo sawa
Hao MuCE ni udsm...ujuaji mwingi wanakuwa na janja janja sana
 
Back
Top Bottom