Utawala2025
JF-Expert Member
- Oct 20, 2023
- 1,144
- 2,755
Tunakoelekea kuna mwaka PDF itakuwa inaonekana kila baada ya miezi 3.Pdf ziiiii[emoji24]
Mambo yanabadilika sana nowdays.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tunakoelekea kuna mwaka PDF itakuwa inaonekana kila baada ya miezi 3.Pdf ziiiii[emoji24]
Mbona tupo ila tulikua tunapisha pepo mchafu aondoke kwanza maana kulishawaka huku ikabidi tukae mbali.N mambo yanabadilika tuu na sio kwamba wanapotea
I mean Barua moja ina page mbili, angalia hapo.sasa kwanini uliweka barua mbili si ungeweka barua moja kwa kila application
Kila application na barua yake, ila barua ndo zina page mbili, umeelewa?sasa kwanini uliweka barua mbili si ungeweka barua moja kwa kila application
Hii P.O.Box ni ya wap?Kuna mtu nilimfungulia akaunti kwa ajili ya kuomba ajira za waalimu, pia nkamuombea na kazi zingine za kufundisha chuo, sasa leo naingia nakutana na hii 👇
View attachment 3113297
Yani nmewekaje barua ambayo sio sahihi wakati na leo tena nmeiangalia na kuona kila kitu kipo sahihi, au kwa kuwa zilikuwa page mbili za barua?
Barua zenyewe 👇
View attachment 3113299
View attachment 3113311
ungeweka page moja moja.Kila application na barua yake, ila barua ndo zina page mbili, umeelewa?
P.O.Box 2320 sio 2513Hii P.O.Box ni ya wap?
ulipokua unaaply tutorial assistance history ulitakiwa uweke page ya history tu.Kila application na barua yake, ila barua ndo zina page mbili, umeelewa?
Hilo sio tatizo, tatizo nshaona na hiyo p. O. Boxungeweka page moja moja.
Tatizo n sanduku la postaulipokua unaaply tutorial assistance history ulitakiwa uweke page ya history tu.
okTatizo n sanduku la posta
Asante mkuu, nimeona kumbe n mm mwnyw nilikosea, dah huyu mtu nikimwambia atalalamika sana Aisee. Nashukuru Mungu hizo za waalimu zipo sawa mana ndio alikuwa anazitaka sana kuliko hizo nyingine.P.O.Box 2320 sio 2513
Pili matangazo mengi ya chuo..address ni Vice chancellor japo sometimes hawajal sana mkiwa wachache...lkn hapo ww ni hyo box
Hy address ipo sawa ila nimezngua tuu hapo kwenye p. O. Box tuuP.O.Box 2320 sio 2513
Pili matangazo mengi ya chuo..address ni Vice chancellor japo sometimes hawajal sana mkiwa wachache...lkn hapo ww ni hyo box
Eh bhana eeeP.O.Box 2320 sio 2513
Pili matangazo mengi ya chuo..address ni Vice chancellor japo sometimes hawajal sana mkiwa wachache...lkn hapo ww ni hyo box
Address walitaka ya psrs au vice chancellor?..Hy address ipo sawa ila nimezngua tuu hapo kwenye p. O. Box tuu
PsrsAddress walitaka ya psrs au vice chancellor?..
Bas pia kuna vitu wanavitaka sio hio tuPsrs
Almost barua zote zinafanana hadi hizo za waalimu ila nmeiangalia zote nimeona n hizo mbili tuu ndo nmekosea hapo kwenye p. O. Box ila zingine zipo sawaBas pia kuna vitu wanavitaka sio hio tu
Hao MuCE ni udsm...ujuaji mwingi wanakuwa na janja janja sanaAlmost barua zote zinafanana hadi hizo za waalimu ila nmeiangalia zote nimeona n hizo mbili tuu ndo nmekosea hapo kwenye p. O. Box ila zingine zipo sawa