Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Humu ndani unaambiwa kaz haifai..haina malupulupu, mambo kibao, kumbe dogo kakaa kwa shemeji anaandika tu

Sasahvi wakiwa wanaandika uwe una wa sahihisha bhana kutusaidia sisi wwngine, maana uwa wanatukataga moto sana. Oja zao utasikia kuna mshikaji wangu mmoja yuko uko namwona jinsi anavyoishi..
 
Sasahvi wakiwa wanaandika uwe una wa sahihisha bhana kutusaidia sisi wwngine, maana uwa wanatukataga moto sana. Oja zao utasikia kuna mshikaji wangu mmoja yuko uko namwona jinsi anavyoishi..
Waongo hao...alaf mtu akiwa anaongea uongo lzma aweke reference kama hzo..mara kuna mjomba/kaka/dada...
Usiangalie mshahara, nenda kwanza kapige interview..
Kila interview iwe fainali
 
Waongo hao...alaf mtu akiwa anaongea uongo lzma aweke reference kama hzo..mara kuna mjomba/kaka/dada...
Usiangalie mshahara, nenda kwanza kapige interview..
Kila interview iwe fainali

Sure sure.. Chief ww ulikua na oral ngapi mpka kubutua mzinga wa asari?
 
Huo ni ugonjwa unapataga wale watu ambao bado awajawa na pay-slip inayoeleweka. Unafikili ukiwa na pay-slip ya kujitosheleza unaupata?

Uginjwa wenyewe unakukimbia 😁😁😁
Mademu wasafi ndo magonjwa yao hayo
 
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 yaan Engineer hali kama unavyoijua jua linawaka sana hapa dodoma najikuta sina ata Mia,vocha zinanikwepa nyieee maisha haya,,,msuli wapi yaan nkisoma kidogo akili inahama na hizo maksi jamn nmewaza wametoa mtihani wa aina gani majamaa haya adi Engineer kala 2 kheee😂😂😂,haiwezekani,wananifanya kila ninapotaka kusoma nasema hapa sio hawatoi hapa😆😆😔
Aisee. Na mimi sielewi kabisa .
 
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 yaan Engineer hali kama unavyoijua jua linawaka sana hapa dodoma najikuta sina ata Mia,vocha zinanikwepa nyieee maisha haya,,,msuli wapi yaan nkisoma kidogo akili inahama na hizo maksi jamn nmewaza wametoa mtihani wa aina gani majamaa haya adi Engineer kala 2 kheee😂😂😂,haiwezekani,wananifanya kila ninapotaka kusoma nasema hapa sio hawatoi hapa😆😆😔
Halafu siku moja nije nipate kazi niwe lecturer wa chuo ,aisee ni mwendo wa supplementaries Tu na carries .
Ukuda ukuda Unoko Unoko .
Students hawajui msoto
 
Mfano mkoa X wapo 8 na wanaohitajika ni 6 wakat huo matokeo yametoka mtu wa mwisho kwenye 6 waliochaguliwa ana 52, mkoa mwingine wa kada hio hio wasahiliwa wapo 20 alaf nafasi zipo 10 wakati huo Kuna mtu hajapata kati ya hao 20 lakini ana marks 60, je watafanyaje apo ?
Yudaaaaaa😂
 
Asante...sikuwah kuwaza kuwa ntakuwa academician[emoji3][emoji3]
Mungu yupo wakuu mshahara nilioambiwa utaingia, sijaamini aisee
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hivi kwa mfumo wa ajira Portal, maombi yakishapokelewa (Received status) probability ya kuitwa written interview inakuwa kama asilimia ngapi? Wazoefu msaada wenu unahitajika hapa'
 
Hivi kwa mfumo wa ajira Portal, maombi yakishapokelewa (Received status) probability ya kuitwa written interview inakuwa kama asilimia ngapi? Wazoefu msaada wenu unahitajika hapa'
 
Hivi kwa mfumo wa ajira Portal, maombi yakishapokelewa (Received status) probability ya kuitwa written interview inakuwa kama asilimia ngapi? Wazoefu msaada wenu unahitajika hapa'
99% kama uliattach kila kitu kwa usahihi kama walivyokuelekeza, kuanzia pasipoti, barua iliyosainiwa nankuelekezwa kwa address husika,pia vyeti viwe certified.
 
Back
Top Bottom