No SQL
JF-Expert Member
- Nov 8, 2014
- 7,063
- 12,563
Mishahara iko fresh tu sio kama tunavyoambiwa humu ndaniVip ni minono zaidi ya wanazengwe wabavyotupangaga au ni midogo zaidi ya iyo?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mishahara iko fresh tu sio kama tunavyoambiwa humu ndaniVip ni minono zaidi ya wanazengwe wabavyotupangaga au ni midogo zaidi ya iyo?
Humu ndani unaambiwa kaz haifai..haina malupulupu, mambo kibao, kumbe dogo kakaa kwa shemeji anaandika tu
Waongo hao...alaf mtu akiwa anaongea uongo lzma aweke reference kama hzo..mara kuna mjomba/kaka/dada...Sasahvi wakiwa wanaandika uwe una wa sahihisha bhana kutusaidia sisi wwngine, maana uwa wanatukataga moto sana. Oja zao utasikia kuna mshikaji wangu mmoja yuko uko namwona jinsi anavyoishi..
Awe makini na kaswende tuu 😂
Waongo hao...alaf mtu akiwa anaongea uongo lzma aweke reference kama hzo..mara kuna mjomba/kaka/dada...
Usiangalie mshahara, nenda kwanza kapige interview..
Kila interview iwe fainali
Mademu wasafi ndo magonjwa yao hayoHuo ni ugonjwa unapataga wale watu ambao bado awajawa na pay-slip inayoeleweka. Unafikili ukiwa na pay-slip ya kujitosheleza unaupata?
Uginjwa wenyewe unakukimbia 😁😁😁
Aisee. Na mimi sielewi kabisa .🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 yaan Engineer hali kama unavyoijua jua linawaka sana hapa dodoma najikuta sina ata Mia,vocha zinanikwepa nyieee maisha haya,,,msuli wapi yaan nkisoma kidogo akili inahama na hizo maksi jamn nmewaza wametoa mtihani wa aina gani majamaa haya adi Engineer kala 2 kheee😂😂😂,haiwezekani,wananifanya kila ninapotaka kusoma nasema hapa sio hawatoi hapa😆😆😔
Halafu siku moja nije nipate kazi niwe lecturer wa chuo ,aisee ni mwendo wa supplementaries Tu na carries .🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 yaan Engineer hali kama unavyoijua jua linawaka sana hapa dodoma najikuta sina ata Mia,vocha zinanikwepa nyieee maisha haya,,,msuli wapi yaan nkisoma kidogo akili inahama na hizo maksi jamn nmewaza wametoa mtihani wa aina gani majamaa haya adi Engineer kala 2 kheee😂😂😂,haiwezekani,wananifanya kila ninapotaka kusoma nasema hapa sio hawatoi hapa😆😆😔
Oral nilikuwa nayo moja MDA..ila hii ya TA sio nafas ya databaseSure sure.. Chief ww ulikua na oral ngapi mpka kubutua mzinga wa asari?
Yudaaaaaa😂Mfano mkoa X wapo 8 na wanaohitajika ni 6 wakat huo matokeo yametoka mtu wa mwisho kwenye 6 waliochaguliwa ana 52, mkoa mwingine wa kada hio hio wasahiliwa wapo 20 alaf nafasi zipo 10 wakati huo Kuna mtu hajapata kati ya hao 20 lakini ana marks 60, je watafanyaje apo ?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Asante...sikuwah kuwaza kuwa ntakuwa academician[emoji3][emoji3]
Mungu yupo wakuu mshahara nilioambiwa utaingia, sijaamini aisee
99% kama uliattach kila kitu kwa usahihi kama walivyokuelekeza, kuanzia pasipoti, barua iliyosainiwa nankuelekezwa kwa address husika,pia vyeti viwe certified.Hivi kwa mfumo wa ajira Portal, maombi yakishapokelewa (Received status) probability ya kuitwa written interview inakuwa kama asilimia ngapi? Wazoefu msaada wenu unahitajika hapa'
Kama ulifata maelekezo yote vizuri ya kwenye Tangazo basi una 99.9% ya kuitwaHivi kwa mfumo wa ajira Portal, maombi yakishapokelewa (Received status) probability ya kuitwa written interview inakuwa kama asilimia ngapi? Wazoefu msaada wenu unahitajika hapa'
Mademu wasafi ndo magonjwa yao hayo
Kama ulifata maelekezo yote vizuri ya kwenye Tangazo basi una 99.9% ya kuitwa