wametoa kada zote?Kuna dogo amechomoka mkeka huu......
Daa bado Mimi inauma basi tu......
Wanachotufanyia sio Poa
mmhh hawa jamaa hawaeleweki kabisa unaweza kushangaa database unayotegemea wametoa tangazo la ajiraKada nyingine hakuna mikeka kabisa
subiri database unaweza kutokeaEeh kaka yani hapa sina amani kabisa, wale wachache wanaopindisha A kuwa B sijui wamenifanyia ubaya ubwela?🥺🥺
Hili swala ukiwa bado hujaingia kwenye mkando wa hawa Jamaa zaidi ya mala mbili oral huwezi kusema hivyo.. Kuna mda unawaza unajisemea kupotezeana mda na malengo ......Mimi nashauri ukiona umekaa database unakaribia mwaka bila kuitwa, achana na database anza kujipanga kwa ajili ya sahili nyingine
Database naiogopa kuchelewa kaka🤣au unataka niwe chizi kama T painsubiri database unaweza kutokea
Tuanzie wapi kaka CCM au CHADEMA 🤣Bora niamie kwenye siasa huku kwenye asali ni pa moto
Naona uchawa ni dili kaka nipate hata uteuzi kwenye PDF ya ikuluTuanzie wapi kaka CCM au CHADEMA 🤣
Pole sana mpambanaji mwenzangu. Punguza jazba na hasira uandike kwa paragraph. Hata hivyo 'message sent'Baadhi ya tasisi, idara, wizara na angency zina ushetani kama wa p-didy, hata hakuna huruma ivi nasikia watu na naona watu wanakaa zaidi ya mwaka kusibilia kuitwa kazini ili hali hata majibu yao ya oral(usahili wa mahojiano) hawajui maksi zao, kwani kuna siri gani angali hata nyesu hakuwa na siri kama hivi, mtu anasubili kuitwa kazini zaidi ya mwaka na hapo katika usahili wao waliyo fanya hajawai itwa kazini hata mmoja mfano mzuri watu wa Automobile Engineers toka mwezi wakumi na moja tarehe 4 hadi 8 oral yao hadi sasa kukavu na tangozo lao la ajira lilikuwa toka mwaka jana mwezi wa sita na watu wa mechanical engineers toka mwaka jana mwezi wa saba oral yao na waliingia moja kwa moja oral bila written na tangazo lao toka much mwaka jana na kuna kada zingine nyingi tu zinaitwa nusunusu utafikili kama maembe yanadondoka kutoka mtini kwa mafungu, huo ni unyanyasaji wa hakili za watu na ujinga wa watumishi mwenye mamulaka sio bora weseme waeingiza watu kwanjia flani tu ijulikane moja au wasitangaze ajira kama hawapo tayali kuwajiri watahiniwa hao kwa wakati, yaani inatia taharuki na mgogoro wa nafsi na ni mbaya sana bora hata upigane na mtu mangumi moyo unapumua na hasira zinapumua kuliko kuwa na mgogoro wa nafsi na mateso ya hakili dhidi ya ajira za serikalini
Je kama ulifel oral?sio kwamba zikiwa zinawahi probability ya kutokea mapema inakua kubwa..?
sasa kama ulifeli oral zikichelewa ndio utakuwepoJe kama ulifel oral?
Sasa zikiwahi au zikichelewa na umefeli na ukiwa unalalamika huoni kama unapigia mbuzi gitaa, ndo mana mm nasema tubaki tukimuomba Mungu tuu na sio kulalamika.sasa kama ulifeli oral zikichelewa ndio utakuwepo
Na hakuna majibu ya oral😂 na wala app yao wameifungasasa kama ulifeli oral zikichelewa ndio utakuwepo
Mkuu taratibuu unaenda Kasi Sana.Mwambie huyo dogo tatizo hawa vijana wanafikiri wanachat na watoto wenzao humu
Laiti wangejua humu kuna watu wakubwa kuna viongoz wao wangekuwa na nidhamu sana haya maisha bila kufahamiana na watu hutoboi hata kama ukipata ajira kuna mambo yako hayataenda kama huna nidhamu na kuheshimu watu
Mtu hamjuani unamtukana kumbe ni Boss wako
Mbaga 😂 😂Sasa zikiwahi au zikichelewa na umefeli na ukiwa unalalamika huoni kama unapigia mbuzi gitaa, ndo mana mm nasema tubaki tukimuomba Mungu tuu na sio kulalamika.
kuna vitu vya kumuomba mungu apa vita ni vita muraSasa zikiwahi au zikichelewa na umefeli na ukiwa unalalamika huoni kama unapigia mbuzi gitaa, ndo mana mm nasema tubaki tukimuomba Mungu tuu na sio kulalamika.