TRASS 4Mnadanganyana! Kwenye tangazo walisema scale ya mshahara ni ipi?
Nimeona watu washaanza kuwa shortlistedSoon Saili za walimu zitaanza.
Tusahau pdf za kuitwa kazini kwa muda kidogo.
Kama Afya walipofanya Saili hakukuwa na PDF.Nimeona watu washaanza kuwa shortlisted
Kada gn hao wamekuwa shortlisted?Nimeona watu washaanza kuwa shortlisted
WalimuKada gn hao wamekuwa shortlisted?
Hayo majina umeyaona wapWalimu
Tayar mkuu wamekua shortlisted via account zao but majina bado kuwa publishedHayo majina umeyaona wap
Na kujituma mkuu husomi unataka ufaulu interview umekuwa SHAHIDI WA YEHOVA?? unasona slide 5 kweliMafanikio yamejificha kwenye muda, ni hivi uamini usiamini ipo siku utapokea habari njema sana na the rest will be the story.
Ni kuzidi kumtumaini Mungu na ukiona unasababu ya kukata tamaa jipe moyo wa kupambana zIdi maana haupo mbali kufanikiwa.
Naomba screenshotTayar mkuu wamekua shortlisted via account zao but majina bado kuwa published
Mkuu tulia mimi nimeona jamaa angu kawa shortlisted mkuu labda nami niombe kwa jamaa ndio tukutumieNaomba screenshot
Naomba screenshot
Huwa wanakuwa shortlisted Kwanza then PDF baadaeHayo majina umeyaona wap
Oral mpaka wa 11, apo pdf la afya litatoka mwakani😂😂Huwa wanakuwa shortlisted Kwanza then PDF baadae
Sijawahi ona kitu kama hiki kablaHuwa wanakuwa shortlisted Kwanza then PDF baadae
Hapo ni kuwa wapole tu zamu ya walimu kunyolewa wengine zetu tutie maji tu.. vilio vingi vitasikika kutoka pande mbalimbaliOral mpaka wa 11, apo pdf la afya litatoka mwakani😂😂
Au maraa paaap vinaachiwa kwa pamoja pdf la interview la walimu na pdf la afya kazini ,night
Kesho pdf lao linatoka .. nataribiri🐵🐵Sijawahi ona kitu kama hiki kabla
Mmmh we jamaa mbona inakuwa hivyo siku mingi tuSijawahi ona kitu kama hiki kabla