Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Inaitwa blessing in disguise. Baraka zinazokuja kama mkosi. Unapata marks ndogo oral wenzio wanapangiwa kazi we unatupwa database unaibukia NHIF na MSD. Unaanza kupita pita Befoward na kutembelea page za madalali wa viwanja.​
Hahahah hawatoi tena pdf kwa hizo kada walizotoa labda hakuna uhutaji uko tamisemi,mbona wameandika muajiri ni wizara tu karibia wote
 
Hahahah hawatoi tena pdf kwa hizo kada walizotoa labda hakuna uhutaji uko tamisemi,mbona wameandika muajiri ni wizara tu karibia wote

Watatoa. Unless wamebadili muundo kwamba unaajiriwa na KM Afya ila kituo cha kazi unaopangiwa facility iliyo chini ya OR TAMISEMI. Ila TAMISEMI ndio wana facilities nyingi kuliko Wizara ya Afya.​
 
Bahati hizi za kimasikhara.

Ukute hawa ndio walipata marks za kawaida kwenye Oral na ndio walikuwa wanaenda kukaa Database.

Nina Imani wale walioperforme vizuri Oral tayari washapangiwa Tamisemi ila imebaki tu ngoma iachiwe
Unapangiwa kule ulikoomba!! Hupangiwi kutegemea marks za usaili!
 
Wakuu nimepoteza vitambulisho vyote vilikuwa kwenye wallet..na nahisi soon naeza kuwa shortlisted sasa bila kitambulisho nawaza kama barua ya serikali za mitaa wanaweza kukubali mwenye experience tafadhal..,
 
Wizara ya Afya inasimamia hopitali za mikoa, za rufaa, na zile za taifa. Tamisemi wanasimamia hospitali za wilaya + vituo vya afya+ zahanati n.k Kwahiyo ni vitu viwili tofauti
Ajira wazotoa mfano.

NO nursing walihitaji 300 wamechukua 400.

Pharmacy Tech walihitaji 124 wamechukua 250+

Mwajiri ni Wizara ya afya sasa Hatuna uhakika ila unaonekana kuna kitu sisi wasaka ajira tusubiri maana Idadi walihitaji wamepitiliza si shida kwa hilo ila Kwa tamisemi kuzidi nao Watu wengi tuna wasiwasi na hilo.

Japo kada nyingi bado hawajatoa mikeka.

Mimi nichohisi utaripotu kwa wizara ya afya wao wata distribute kwenda sehemu zingine maana IdadI kubwa sana kwa wizara pekee wakati Tamisemi ndio unakuwa na uhitaji mkubwa.

Kada kama.

MD.CO,Ano,En,macho,physiotherapy Daktari bingwa bado
 
Ajira wazotoa mfano.

NO nursing walihitaji 300 wamechukua 400.

Pharmacy Tech walihitaji 124 wamechukua 250+

Mwajiri ni Wizara ya afya sasa Hatuna uhakika ila unaonekana kuna kitu sisi wasaka ajira tusubiri maana Idadi walihitaji wamepitiliza si shida kwa hilo ila Kwa tamisemi kuzidi nao Watu wengi tuna wasiwasi na hilo.

Japo kada nyingi bado hawajatoa mikeka.

Mimi nichohisi utaripotu kwa wizara ya afya wao wata distribute kwenda sehemu zingine maana IdadI kubwa sana kwa wizara pekee wakati Tamisemi ndio unakuwa na uhitaji mkubwa.

Kada kama.

MD.CO,Ano,En,macho,physiotherapy Daktari bingwa bado
Basi wangeunganisha kwenye sehemu ya mwajiri kwa maneno ya muajiri wizara na tamisemi,pale wamemuandika wizara tu nadhani ni swala la muda kama alivyosema @ mwifa
 
Back
Top Bottom