Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Kimuundo ni ngumu mwajiriwa wa wizard kupa visa kituo Halmashauri. I mean kaka unajua Mindi wa LG ulivyo.

Labda PSRS wamekosea pale kwenye mwajiri. İla ngoja tuone
Sasa kwa mantiki hiyo mwaka huu watu watakula Mashavu sana.

Mfano Leo wameajirwa nursing 400 wizara kumbuka hawa pia wanatakiwa Tamisemi.

Wameajiriwa pham tech 250 wizara hawa pia wanatakiwa kwa wingi LGA.

Kwa mantinki hiyo waliofanya oral mwaka huu watakula maisha.

Maana idadi imeshazidi kwa wizara na hapo bado Tamisemi
 
Kimuundo ni ngumu mwajiriwa wa wizara kupangiwa kituo Halmashauri. I mean kaka unajua muundo wa LG ulivyo.

Labda PSRS wamekosea pale kwenye mwajiri. İla ngoja tuone
Hapa nimekuelewa lakini nimeona idadi wamefikia waliyotaka na wamezidi kwa waliohitaji na hapo wamepeleka MDA.

kwa upande wa LGA unajiuliza itakuaje?
 
Sasa kwa mantiki hiyo mwaka huu watu watakula Mashavu sana.

Mfano Leo wameajirwa nursing 400 wizara kumbuka hawa pia wanatakiwa Tamisemi.

Wameajiriwa pham tech 250 wizara hawa pia wanatakiwa kwa wingi LGA.

Kwa mantinki hiyo waliofanya oral mwaka huu watakula maisha.

Maana idadi imeshazidi kwa wizara na hapo bado Tamisemi
Inawezekana kumbuka hao pharmacy oral waliitwa buku naa, so kuita watu 250 sio kwamba bado hawaitajiki wanaweza chukua nusu ya 500
 
Inawezekana kumbuka hao pharmacy oral waliitwa buku naa, so kuita watu 250 sio kwamba bado hawaitajiki wanaweza chukua nusu ya 500
Nimekupata mimi nasubiri jina langu sisi wametoa 34 juzi tu...lingine sijui lini ila wanavyotoa nusu nusu kimzuka kinapanda
 
Tuendelee kula mtori nyama ziko jikoni mwaka huu kila mtu atapata ajira
Takataka sana hii taasisi , ina maana nchi hii waalimu na watu wa afya ndio wana maana sana kuliko wengine ?
Yaani mikeka ya hawa watu ni faster ,njoo fani nyingine sasa
Rubbish kabisa
 
Takataka sana hii taasisi , ina maana nchi hii waalimu na watu wa afya ndio wana maana sana kuliko wengine ?
Yaani mikeka ya hawa watu ni faster ,njoo fani nyingine sasa
Rubbish kabisa
Mzee haujui sisi watu wa afya ndo tuipatia kura serikali.
 
Kwa placement za PSRS hili pdf la leo limetia fora! haijapata kutokea! Mwaka jana post za MDA&LGA zilikuwa zinatoka kidogo kidogo kwa karibuni mwaka mzima!! Lakini hii ya leo imetoa idadi kubwa ya placement hata kuzidi idadi iliyokuwa inahitajika kwa baadhi ya kada kama vile nursing officer II
 
Kwa placement za PSRS hili pdf la leo limetia fora! haijapata kutokea! Mwaka jana post za MDA&LGA zilikuwa zinatoka kidogo kidogo kwa karibuni mwaka mzima!! Lakini hii ya leo imetoa idadi kubwa ya placement hata kuzidi idadi iliyokuwa inahitajika kwa baadhi ya kada kama vile nursing officer II
Na hapo bado tamisemi
 
Kuna siku mzew wangu aliniambia hata mvua inyeshe vipi lakini kama kwenye shamba lako haija yesha bado huo mwaka unasimama kama mwaka wa ukame kwako. Sasahv ndo naelewa mana yake.

Ongereni mliopata na wale ambao bado endeleeni kuwa wavumilivu na tuzid kumuomba mungu.

Utumishi watukumbuke na ss wa kada nyengine kama si kwa placement basi iwe kwa interview
 
Back
Top Bottom