Utawala2025
JF-Expert Member
- Oct 20, 2023
- 1,144
- 2,755
Sidhani kama kuna pdf ya tamisemi watakuwa wanaitwa wizara wanapanga wao vituo hadi tamisemiWale nurses si ni zaidi ya buku sasa hapo kuna mkeka unaweza kuja ndo uo wa tamisemi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sidhani kama kuna pdf ya tamisemi watakuwa wanaitwa wizara wanapanga wao vituo hadi tamisemiWale nurses si ni zaidi ya buku sasa hapo kuna mkeka unaweza kuja ndo uo wa tamisemi
Kimuundo ni ngumu mwajiriwa wa wizara kupangiwa kituo Halmashauri. I mean kaka unajua muundo wa LG ulivyo.Sidhani kama kuna pdf ya tamisemi watakuwa wanaitwa wizara wanapanga wao vituo hadi tamisemi
Sasa kwa mantiki hiyo mwaka huu watu watakula Mashavu sana.Kimuundo ni ngumu mwajiriwa wa wizard kupa visa kituo Halmashauri. I mean kaka unajua Mindi wa LG ulivyo.
Labda PSRS wamekosea pale kwenye mwajiri. İla ngoja tuone
Hapa nimekuelewa lakini nimeona idadi wamefikia waliyotaka na wamezidi kwa waliohitaji na hapo wamepeleka MDA.Kimuundo ni ngumu mwajiriwa wa wizara kupangiwa kituo Halmashauri. I mean kaka unajua muundo wa LG ulivyo.
Labda PSRS wamekosea pale kwenye mwajiri. İla ngoja tuone
Inawezekana kumbuka hao pharmacy oral waliitwa buku naa, so kuita watu 250 sio kwamba bado hawaitajiki wanaweza chukua nusu ya 500Sasa kwa mantiki hiyo mwaka huu watu watakula Mashavu sana.
Mfano Leo wameajirwa nursing 400 wizara kumbuka hawa pia wanatakiwa Tamisemi.
Wameajiriwa pham tech 250 wizara hawa pia wanatakiwa kwa wingi LGA.
Kwa mantinki hiyo waliofanya oral mwaka huu watakula maisha.
Maana idadi imeshazidi kwa wizara na hapo bado Tamisemi
Kumbuka hizi ni taasis mbili tofauti kakaSidhani kama kuna pdf ya tamisemi watakuwa wanaitwa wizara wanapanga wao vituo hadi tamisemi
Nimekupata mimi nasubiri jina langu sisi wametoa 34 juzi tu...lingine sijui lini ila wanavyotoa nusu nusu kimzuka kinapandaInawezekana kumbuka hao pharmacy oral waliitwa buku naa, so kuita watu 250 sio kwamba bado hawaitajiki wanaweza chukua nusu ya 500
Kweli nimeona bana kumbe walifanya 1000 kweli bana.Inawezekana kumbuka hao pharmacy oral waliitwa buku naa, so kuita watu 250 sio kwamba bado hawaitajiki wanaweza chukua nusu ya 500
Eee mkuu ina maana wakiishia ivo na hizo idadi bado watakuwa wamebana sanaNimekupata mimi nasubiri jina langu sisi wametoa 34 juzi tu...lingine sijui lini ila wanavyotoa nusu nusu kimzuka kinapanda
Hawajajipanga utumishi bado hawawezi kurun zoezi la interview kwa haraka sababu kubwa ni uhaba wa nguvu kazi. Hiyo inatakiwa tàasisi kama NECTA
Bado mkeka mwengine ambao wajiriwa wapya watafuata barua Dom
Takataka sana hii taasisi , ina maana nchi hii waalimu na watu wa afya ndio wana maana sana kuliko wengine ?Tuendelee kula mtori nyama ziko jikoni mwaka huu kila mtu atapata ajira
Mzee haujui sisi watu wa afya ndo tuipatia kura serikali.Takataka sana hii taasisi , ina maana nchi hii waalimu na watu wa afya ndio wana maana sana kuliko wengine ?
Yaani mikeka ya hawa watu ni faster ,njoo fani nyingine sasa
Rubbish kabisa
Na hapo bado tamisemiKwa placement za PSRS hili pdf la leo limetia fora! haijapata kutokea! Mwaka jana post za MDA&LGA zilikuwa zinatoka kidogo kidogo kwa karibuni mwaka mzima!! Lakini hii ya leo imetoa idadi kubwa ya placement hata kuzidi idadi iliyokuwa inahitajika kwa baadhi ya kada kama vile nursing officer II