Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Na walikua wanahitaji watu wangapi?
Walihitajika 726,Jana ulichukua 45,Kuna wa tarehe 16 walichukua kama 6 kwenda wizara ya ulinzi na mmoja akapelekwa MOI,Leo 681.ukichukua 681 na 45 ina make total of 726,Tukiassume wale wengine wametoka database.
 
L
Wale ambao wangebaki database wanapangiwa popote penye nafasi.

Hawa wanaoitwa Wizara ya Afya na ilihali walifanya Oral ya TAMISEMI watakuwa walipata marks za kawaida na walikuwa wanaenda kukaa Database, bahati nzuri Wizara ikawa na uhitaji na ikaomba kupatiwa Watumishi ndipo wakapangiwa kazi kule.
lile tangazo lilikuwa MDAs na LGAs na muajiri wake ni mkoa husika, sasa hizi tunaona muajiri ni wizara ya afya wakati nafasi ni kwa MDAs (wizara) na LGAs (Tamisemi)
 
Haiwezekani upangiwe Mwajiri ni Wizara ya Afya halafu iwe Tamisemi.

Wizara ya Afya na Tamisemi ni wizara 2 tofauti japo zote zina simamia masuala ya Afya kwa kugawana ngazi(level) za Vituo vya Afya.

Hivyo kila Wizara ikipokea watumishi itawapangia kwenye Vituo vilivyo chini yake.

Kuhusu PDF la Tamisemi, hilo lipo ila tusubiri wamalizane na Uchaguzi kwanza watalitoa. Pia si mumeona wamesitisha usahili wa Walimu! hapa wanapisha kwanza Uchaguzi.

Mwaka 2022 kulikuwa na Sensa, ilituchelewesha sana PDF za mikando na ndipo mwaka huo huu uzi ulikuwa wa moto sana kuhusu hizi mambo za usahili.

Sensa ilipopita tu, pdf za mikando zikafurika hadi tukawa na mapanic ya kukandwa.
Hahahahah wizara kaamua kumsaidia tamisemi kudistribute watu,may be
 
Hapa nimekuelewa lakini nimeona idadi wamefikia waliyotaka na wamezidi kwa waliohitaji na hapo wamepeleka MDA.

kwa upande wa LGA unajiuliza itakuaje?
Ulifuatilia vizuri pdf za kuitwa kwenye oral?

Ratio ilikuwa 1:3 kwa kila nafasi, hivyo kulikuwa na zaidi ya watu 2 kwa kila nafasi ambao lazima wangebaki Dabatase.

Hivyo basi hawa unaohisi wamezidi nafasi zilizotangazwa na Tamisemi, nina imani ndio wale waliokuwa wanaenda kukaa data base ila Wizara ikawa na uhitaji na ikapewa.

PDF la TAMISEMI litatoka tusubiri wamalizane na uchaguzi kwanza
 
Una
Haiwezekani upangiwe Mwajiri ni Wizara ya Afya halafu iwe Tamisemi.

Wizara ya Afya na Tamisemi ni wizara 2 tofauti japo zote zina simamia masuala ya Afya kwa kugawana ngazi(level) za Vituo vya Afya.

Hivyo kila Wizara ikipokea watumishi itawapangia kwenye Vituo vilivyo chini yake.

Kuhusu PDF la Tamisemi, hilo lipo ila tusubiri wamalizane na Uchaguzi kwanza watalitoa. Pia si mumeona wamesitisha usahili wa Walimu! hapa wanapisha kwanza Uchaguzi.

Mwaka 2022 kulikuwa na Sensa, ilituchelewesha sana PDF za mikando na ndipo mwaka huo huu uzi ulikuwa wa moto sana kuhusu hizi mambo za usahili.

Sensa ilipopita tu, pdf za mikando zikafurika hadi tukawa na mapanic ya kukandwa.
UNaweza kuta uhitaji ni mkubwa na wizara hizi mbili zimeamua kugawana watu, kwa iyo wizara na idara washaomba watu wao utumishi ..bado wimbi la tamisemi au unaweza kuta pdf lao liko tayar
 
Kuna comment nimeiona kwenye uzi fulani naomba niipaste hapa;-



"Nitaka nitoe ufafanuzi juu ya ajira za afya zilizotoka juzi,,,,
Ajira hizi mwajiri wake ni wizara ya afya anayesimamia ajira za taasisi za serkali kama vile vyuo vikuu vilivyo na vituo vya afya, hospitali za mikoa, hospital za Kanda na hospital ya Taifa, majeshini nk
Kuhusu walioajiriwa
Maadam anayeratibu ni UTUMISHI kupitia ajira portal, yeyote aliyefaulu usahili anaajiriwa yoyote aliyefaulu usaili wa mahojiano.
Kama Kuna mtu alifanya usahili tarehe hizo tajwa na akafahulu , wizara ili omba watu hao kutoka kwenye data base ya UTUMISHI wakawapatia watu walionao.
Kuhusu hizi za Tamisemi ambazo ndo ni za watu wengi zaidi zitatoka hivi karibuni na mwajiri wake atakuwa ni mkoa husika yaan LGAS na MGAS kwo tuwe watulivu maana ajira za afya under Tamisemi zilizoratibiwa na sekretariet ya ajira
Wapo watu kama 10k + ambao tayari wameshapangiwa vituo na majina Yao yatatoka muda SI mrefu.
Nawasilisha."


Kwa mujibu wa maelezo haya, hizi ajira wanazotoa PSRS sio zile zilizotangazwa. Hizi ni additional posts baada ya Wizara ya Afya kupewa vibali vingine vya kuajiri na kuomba watumishi kutoka PSRS.


Hivyo, mlioomba zile posts ambazo waajiri ni mikoa, posts zenu bado, endeleeni kusubiri. Ikitokea hukupata kule ukapelekwa Wizarani , nayo imekaa vizuri.


Yote kwa yote, kama ni kweli serikali itaita watu wote kama trend inavyoonekana, huu mwaka watu wataingia wengi sana kwenye system.
Hiki ndicho ninachokisema sasa
 
Ina maana hapa kuna uwezekano hawa wanaoitwa na wizara ya afya walitakiwa kuwepo kanzi data au[emoji23]pengine wale waliofaulu ndo wako kwenye iyo pdf ya tamisemi ,narefer kwa mkuu @ Mwifa
Nishaeleza hilo swali lako, bina shaka umeona comment
 
Basi kama ni uongo matangazo yao hayajakaa sawa, kuanzia tangazo la kazi ambalo lilihusu MDAs na LGAs ,adi kufanya usahili.na hatimaye pdf ambazo zinaandika muajiri ni wizara ya afya (MDAs),swali je hawa LGAs waliohusishwa kwenye tangazo wako wapi??
Kufanya interview sio kuajiri watu wengi yaan ulichosema na unachosema sasa vimepishana
 
L

lile tangazo lilikuwa MDAs na LGAs na muajiri wake ni mkoa husika, sasa hizi tunaona muajiri ni wizara ya afya wakati nafasi ni kwa MDAs (wizara) na LGAs (Tamisemi)
Hamna shida sasa maana MDAs ndipo ilipo Wizara
 
Ina maana hapa kuna uwezekano hawa wanaoitwa na wizara ya afya walitakiwa kuwepo kanzi data au😂pengine wale waliofaulu ndo wako kwenye iyo pdf ya tamisemi ,narefer kwa mkuu @ Mwifa
Hakuna hio mtaajiriwa baada ya uchaguzi 2025
 
Haiwezekani upangiwe Mwajiri ni Wizara ya Afya halafu iwe Tamisemi.

Wizara ya Afya na Tamisemi ni wizara 2 tofauti japo zote zina simamia masuala ya Afya kwa kugawana ngazi(level) za Vituo vya Afya.

Hivyo kila Wizara ikipokea watumishi itawapangia kwenye Vituo vilivyo chini yake.

Kuhusu PDF la Tamisemi, hilo lipo ila tusubiri wamalizane na Uchaguzi kwanza watalitoa. Pia si mumeona wamesitisha usahili wa Walimu! hapa wanapisha kwanza Uchaguzi.

Mwaka 2022 kulikuwa na Sensa, ilituchelewesha sana PDF za mikando na ndipo mwaka huo huu uzi ulikuwa wa moto sana kuhusu hizi mambo za usahili.

Sensa ilipopita tu, pdf za mikando zikafurika hadi tukawa na mapanic ya kukandwa.
Nadhani mwaka huu wizara ataratibu shughuli za ajira kaka subiri tuone wataoenda kuchukua barua.

Sidhani kama kuna mkeka wa Tamisemi itakuja kutoka nje ya huu
 
Ulifuatilia vizuri pdf za kuitwa kwenye oral?

Ratio ilikuwa 1:3 kwa kila nafasi, hivyo kulikuwa na zaidi ya watu 2 kwa kila nafasi ambao lazima wangebaki Dabatase.

Hivyo basi hawa unaohisi wamezidi nafasi zilizotangazwa na Tamisemi, nina imani ndio wale waliokuwa wanaenda kukaa data base ila Wizara ikawa na uhitaji na ikapewa.

PDF la TAMISEMI litatoka tusubiri wamalizane na uchaguzi kwanza
Yeah hapa na mimi naanza kukupata ,kuna bro.alinieleza alikofanyia oral kabla ya kuingia walielezwa kuhusu ratio ya kila nafasi na yeye alikoenda walikuwa watu 10 na nafasi zilitakiwa 2 tu inamaana nafasj hizo mbili zilipiganiwa na watu 4 imean 1:4 na watu wawili wa extra kwa maana iyo walitakiwa wawe watu 6 lakini wakzidi na kama wengi wao walifaulu sidhani kama kuna watu wataachwa hususani kwa hzi taasis mbili wizara na tamisemi
 
Nadhani mwaka huu wizara ataratibu shughuli za ajira kaka subiri tuone wataoenda kuchukua barua.

Sidhani kama kuna mkeka wa Tamisemi itakuja kutoka nje ya huu
HIzi taasisi ni mbili tofauti kila mtu na muundo wake na uongozi wake, kwa iyo jenista muhagama akamfanyie kazi mchengerwa😂😂 afu ripoti itatolewa na muhagama au
 
Ina maana hapa kuna uwezekano hawa wanaoitwa na wizara ya afya walitakiwa kuwepo kanzi data au😂pengine wale waliofaulu ndo wako kwenye iyo pdf ya tamisemi ,narefer kwa mkuu @ Mwifa
Kwa mujibu wa maelezo, inaonekana kuwa wizara ya afya baada ya kuwa imepewa kibali cha kuajiri ikaona hakuna haja ya kutangaza ajira wakati kuna watu kibao kwenye database ya PSRS. Kwa hiyo ikaomba ipewe watu kutoka database. Kwa maana hiyo hao walioitwa ni kutoka database hadi waliowekwa database baada ya usaili wa kada ya afya hivi karibuni. Ina maana waliopangiwa post baada ya usahili wa afya bado hayajatangazwa!! Unaona mambo ya Mungu hayo!! Aliyeko database anamtangulia aliyepata placement, tena anapelekwa hospitali za rufaa, mikoa na taasisi!! Aliyepata placement ni wa halmashauri!
 
Ajira wazotoa mfano.

NO nursing walihitaji 300 wamechukua 400.

Pharmacy Tech walihitaji 124 wamechukua 250+

Mwajiri ni Wizara ya afya sasa Hatuna uhakika ila unaonekana kuna kitu sisi wasaka ajira tusubiri maana Idadi walihitaji wamepitiliza si shida kwa hilo ila Kwa tamisemi kuzidi nao Watu wengi tuna wasiwasi na hilo.

Japo kada nyingi bado hawajatoa mikeka.

Mimi nichohisi utaripotu kwa wizara ya afya wao wata distribute kwenda sehemu zingine maana IdadI kubwa sana kwa wizara pekee wakati Tamisemi ndio unakuwa na uhitaji mkubwa.

Kada kama.

MD.CO,Ano,En,macho,physiotherapy Daktari bingwa bado
Vijana
Ajira wazotoa mfano.

NO nursing walihitaji 300 wamechukua 400.

Pharmacy Tech walihitaji 124 wamechukua 250+

Mwajiri ni Wizara ya afya sasa Hatuna uhakika ila unaonekana kuna kitu sisi wasaka ajira tusubiri maana Idadi walihitaji wamepitiliza si shida kwa hilo ila Kwa tamisemi kuzidi nao Watu wengi tuna wasiwasi na hilo.

Japo kada nyingi bado hawajatoa mikeka.

Mimi nichohisi utaripotu kwa wizara ya afya wao wata distribute kwenda sehemu zingine maana IdadI kubwa sana kwa wizara pekee wakati Tamisemi ndio unakuwa na uhitaji mkubwa.

Kada kama.

MD.CO,Ano,En,macho,physiotherapy Daktari bingwa bado
Labda kama unatafuta kujifariji! Nilichosema nipo sahihi.

Hoja yako ya idadi ya kada husika na walizoitwa ni kitu ambacho wao sekritariati for years wamekua wakijitahidi kutolea maelezo.

Kunapotangazwa ajira, then ikatokea mwajiri mwingine ameleta kwao tangazo lenye uhitaji sawa, huwa hawatangazi kwa mara nyingine wanaendelea na tangazo lilotangazwa na kama kwenye data base hakuna match basi watachukua hao wa mwajiri wa pili kutoka ktk mchakato unaoendelea.

Wizara ya Afya na TAMISEMI ni waajiri wawili tofauti.
 
Back
Top Bottom