Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Kwa mujibu wa maelezo, inaonekana kuwa wizara ya afya baada ya kuwa imepewa kibali cha kuajiri ikaona hakuna haja ya kutangaza ajira wakati kuna watu kibao kwenye database ya PSRS. Kwa hiyo ikaomba ipewe watu kutoka database. Kwa maana hiyo hao walioitwa ni kutoka database hadi waliowekwa database baada ya usaili wa kada ya afya hivi karibuni. Ina maana waliopangiwa post baada ya usahili wa afya bado hayajatangazwa!! Unaona mambo ya Mungu hayo!! Aliyeko database anamtangulia aliyepata placement, tena anapelekwa hospitali za rufaa, mikoa na taasisi!! Aliyepata placement ni wa halmashauri!
Ukweli utajulikana kwa watakaoenda kuchukua barua.
 
Kwa mujibu wa maelezo, inaonekana kuwa wizara ya afya baada ya kuwa imepewa kibali cha kuajiri ikaona hakuna haja ya kutangaza ajira wakati kuna watu kibao kwenye database ya PSRS. Kwa hiyo ikaomba ipewe watu kutoka database. Kwa maana hiyo hao walioitwa ni kutoka database hadi waliowekwa database baada ya usaili wa kada ya afya hivi karibuni. Ina maana waliopangiwa post baada ya usahili wa afya bado hayajatangazwa!! Unaona mambo ya Mungu hayo!! Aliyeko database anamtangulia aliyepata placement, tena anapelekwa hospitali za rufaa, mikoa na taasisi!! Aliyepata placement ni wa halmashauri!
Pia kwenye kupanga ajira, anayepangiwa kwa mara ya kwanza ndo mwenye marks nyingi.

Haijalishi ulifanya usaili uliotangazwa na mwajiri yupi. Ila mwajiri mwenyewe atakuwa tayari kukamilisha taratibu za ajira ndo anayepewa ile first cream.
 
Bah
Basi mtaajiriwa 2035 umefurahi?
Bahati yako umejificha nyuma ya keyboard!! Jobless walivyosota kwa kusubiri halafu unawarushia pumba ungeonekana wangekugombania kama mpira wa kona!! anayetoka na jicho sawa, anayenyofoa pua sawa, ndani ya dk 1 ungetoweka! (I'm just joking, don't worry)!!
 
Kwa mujibu wa maelezo, inaonekana kuwa wizara ya afya baada ya kuwa imepewa kibali cha kuajiri ikaona hakuna haja ya kutangaza ajira wakati kuna watu kibao kwenye database ya PSRS. Kwa hiyo ikaomba ipewe watu kutoka database. Kwa maana hiyo hao walioitwa ni kutoka database hadi waliowekwa database baada ya usaili wa kada ya afya hivi karibuni. Ina maana waliopangiwa post baada ya usahili wa afya bado hayajatangazwa!! Unaona mambo ya Mungu hayo!! Aliyeko database anamtangulia aliyepata placement, tena anapelekwa hospitali za rufaa, mikoa na taasisi!! Aliyepata placement ni wa halmashauri!
Kweli Mungu Fundi🙌🙌🙌🙌
 
Vijana

Labda kama unatafuta kujifariji! Nilichosema nipo sahihi.

Hoja yako ya idadi ya kada husika na walizoitwa ni kitu ambacho wao sekritariati for years wamekua wakijitahidi kutolea maelezo.

Kunapotangazwa ajira, then ikatokea mwajiri mwingine ameleta kwao tangazo lenye uhitaji sawa, huwa hawatangazi kwa mara nyingine wanaendelea na tangazo lilotangazwa na kama kwenye data base hakuna match basi watachukua hao wa mwajiri wa pili kutoka ktk mchakato unaoendelea.

Wizara ya Afya na TAMISEMI ni waajiri wawili tofauti.
Asante mkuu kwa maelezo yako, nadhani wewe ni mtu wa tatu kutulea maelezo hili swala akiwemo bwana Ze heby na Mwifa
 
Kwa mujibu wa maelezo, inaonekana kuwa wizara ya afya baada ya kuwa imepewa kibali cha kuajiri ikaona hakuna haja ya kutangaza ajira wakati kuna watu kibao kwenye database ya PSRS. Kwa hiyo ikaomba ipewe watu kutoka database. Kwa maana hiyo hao walioitwa ni kutoka database hadi waliowekwa database baada ya usaili wa kada ya afya hivi karibuni. Ina maana waliopangiwa post baada ya usahili wa afya bado hayajatangazwa!! Unaona mambo ya Mungu hayo!! Aliyeko database anamtangulia aliyepata placement, tena anapelekwa hospitali za rufaa, mikoa na taasisi!! Aliyepata placement ni wa halmashauri!
Bila shaka naona maelezo yako, yamejitosheleza Sana ✍️
 
Asante mkuu kwa maelezo yako, nadhani wewe ni mtu wa tatu kutulea maelezo hili swala akiwemo bwana Ze heby na Mwifa
Mimi kwanza na amini yote myasemayo maana mimi mwenyewe jina langu liko kwenye msako msako wa pdf yote heri.

Ila jamani wiki ijayo migiro kutakuwa na mtafutano wa watu
 
Wizara ya Afya inasimamia hopitali za mikoa, za rufaa, na zile za taifa. Tamisemi wanasimamia hospitali za wilaya + vituo vya afya+ zahanati n.k Kwahiyo ni vitu viwili tofauti
Upo sahihi
 
Pia kwenye kupanga ajira, anayepangiwa kwa mara ya kwanza ndo mwenye marks nyingi.

Haijalishi ulifanya usaili uliotangazwa na mwajiri yupi. Ila mwajiri mwenyewe atakuwa tayari kukamilisha taratibu za ajira ndo anayepewa ile first cream.
Kwa iyo mwajiri aliyetoa tangazo kuhitaji watu wake ndo apate waliopata maksi ndogo afu aliyeomba apatatiwe kupitia mwajiri wa kwanza apate wenye maksi kubwa inawezekanaje😂😂
 
Kwa iyo mwajiri aliyetoa tangazo kuhitaji watu wake ndo apate waliopata maksi ndogo afu aliyeomba apatatiwe kupitia mwajiri wa kwanza apate wenye maksi kubwa inawezekanaje[emoji23][emoji23]
Changamoto ya Tamisemi mambo mengi muda yuko busy na uchaguzi mwenzake wizara hana muda anahitaji watu na mikeka yake itachelewa sana
 
Changamoto ya Tamisemi mambo mengi muda yuko busy na uchaguzi mwenzake wizara hana muda anahitaji watu na mikeka yake itachelewa sana
Hii ndo point mkuu, tamisemi yeye ana mambo kama yote mara uchaguzi, mara wapi uko kwa iyo mambo mengine anaweka pending kwanza amalizane na lingine
 
Back
Top Bottom