Hongera sana mkuu Utawala2025 . Hatimaye umelamba asali. Tunakuomba usipotee kwenye jukwaa hili kama Mwifwa . Ukawe mtumishi mwema.ASANTE MUNGU NA MALAIKA WAKE ATIMAYE NIMEPATA KAZI...
Haikuwa Rahisi.
Sidhani kama kuna mkeka wa Tamisemi itakuja kutoka nje ya huu
hongera sana ukawe mtumishi mwemaASANTE MUNGU NA MALAIKA WAKE ATIMAYE NIMEPATA KAZI...
Haikuwa Rahisi.
Hongera Sana .. you deserve itASANTE MUNGU NA MALAIKA WAKE ATIMAYE NIMEPATA KAZI...
Haikuwa Rahisi.
Hongera sana kila la kheri kwenye majukumu yako mapya.ASANTE MUNGU NA MALAIKA WAKE ATIMAYE NIMEPATA KAZI...
Haikuwa Rahisi.
Daah Utawala2025 nae katuaga๐๐uzi unazidi kupoteza malegend, hongera sana kaka ila usipotee kama Pinacoladee ๐, maana kazama mazima kwenye asali, bado Mbaga Jr ๐๐ASANTE MUNGU NA MALAIKA WAKE ATIMAYE NIMEPATA KAZI...
Haikuwa Rahisi.
Tamisemi wapo busy na Uchaguzi wa Serikali za Mitaa, tukumbuke hili pia.Utumishi wanaratibu ajira zote za wizara, tamisemi na idara mbali mbali ,hivyo waajiri wanampa kazi utumishi ya kuchambua watu kwa sahili, kwa iyo ata za wizara zimepita uko, na ata tamisemi zimepita uko, ishu ni kuna wadau washasema inaonekana wizara walihitaji watu ndio wakachukuliwa hao, je vipi tamisemi ambao ndo tangazo lao lilibebana na MDAs na LGAs.labda kama ajira zipo kisiasa lakini tamisemi nao wanatakiwa kuajiri watu wao hizi ni taasis mbili tofaut.elewa
Siku Mbaga Jr akilamba asali huu uzi utakuwa umepoteza kiungo muhimu Sana๐Daah Utawala2025 nae katuaga๐๐uzi unazidi kupoteza malegend, hongera sana kaka ila usipotee kama Pinacoladee ๐, maana kazama mazima kwenye asali, bado Mbaga Jr ๐๐
Wakiondoka. Wataibuka wengine, Lord is goodDaah Utawala2025 nae katuaga๐๐uzi unazidi kupoteza malegend, hongera sana kaka ila usipotee kama Pinacoladee ๐, maana kazama mazima kwenye asali, bado Mbaga Jr ๐๐
ASANTE MUNGU NA MALAIKA WAKE ATIMAYE NIMEPATA KAZI...
Haikuwa Rahisi.
Siku Mbaga Jr akilamba asali huu uzi utakuwa umepoteza kiungo muhimu Sana๐
Huu mwaka hauishi nawaaga ๐Daah Utawala2025 nae katuaga๐๐uzi unazidi kupoteza malegend, hongera sana kaka ila usipotee kama Pinacoladee ๐, maana kazama mazima kwenye asali, bado Mbaga Jr ๐๐
Utapata kiongozi... Mungu mwema, usikate tamaaa ๐ ๐Mungu uwe na mimi siku moja na mimi niandike umu message kama hii.
Ongera sana mungu awe na wew katika majuku yako.
Kama viongoz wa Hamas na HezbollahWakiondoka. Wataibuka wengine, Lord is good
๐๐๐Dah hongera sana mkuuHuu mwaka hauishi nawaaga ๐
Kaka wewe unaiona ndogo hiyo.
Hongera sana.
Najua unajua utaanza na TGHS B ambayo basic ni 758,000/= na itakua inapanda kadiri unavyoendelea.
Kumbe mema ya nchi ushayazoea๐Kaka wewe unaiona ndogo hiyo.
Mimi uzuri nilikuwa mwajiri wa serikali sema nilikuwa nafanya mkataba na mshahara ni huo huo nilikuwa napokea.
Kikubwa check numbers mengine tutapambana nayo kwenye utumishi wa umma