Mwanjangle
JF-Expert Member
- May 30, 2024
- 294
- 331
Malupulupu kama extra duty, na bima n.k kwa watu wa afya??Tatizo la LGA ni usumbufu wa madiwani!! Pia hofu ya wakurugenzi kuhusu usalama wa nafasi zao!! Akitembelea kiongozi kwenye kata husika watumishi wote wa halmashauri lazima wawepo hata kama ni jumapili!! Kwenye mikutano ya hadhara watumishi hulazimika kujibu kero za wananchi papo kwa papo! Ole wako usihudhurie mkutano wa hadhara halafu idara yako ikatakiwa kujibu hoja!! Mishahara ni sawa lakini usumbufu si sawa!!
Kada yangu wote waliofanikiwa wameitwa mikoa waliyofanyia usahili na kila mkoa hawajakosa watu 3-4Baada ya placement za hal mashauri kutoka sasa ni dhahiri kuwa placement za wizara ya afya zilikuwa kutoka database!! Kwenye wizara watu hawakupangwa kutokana na machaguo yao. Lakini placement za halmashauri zimepangwa kulingana na machaguo ya mikoa ya waombaji!! Kwa mfano namfahamu mmoja aliyechagua mkoa wa mbeya na amepangwa mojawapo ya halmashauri za mkoa wa mbeya!
Liwale😁Kuna pdf la lindi huko
Kwa iyo waliofaulu mwanzo ndio walitakiwa waende wizara ya afya, au vyovyote tu ni sawa uko tamisemi?Kanuni za PSRS hazikubaliani na hoja hiyo!! Mamlaka ya ajira iliyoomba watumishi ndio inapewa kipaumbele!! Kumbuka PSRS wanafanya kwa niaba ya waajiri!! hawawezi kubadilisha!! Waliopangwa wizara ya afya na taasisi zake hao ndo walikuwa na alama za chini!! Kitu kibaya kilichotokea ni kuita watu wa database kabla ya waliokuwa wamechaguliwa!! Ni sawa ni kuita second selection mwazo kabla ya first selection kujiunga na form five au form one!! It was a grave mistake!
hlo pdf nitakalokuwemo nitalitengenezea frem nilitundike sebuleniYaan wengine Hadi tumechoka
mkuu tupe mrejesho huko TCRA watu mtaingia? au watu waandae mashamba walime. PSRS wamekujaje awamu hii au wamevaa helement kabisa
Hao ni technicians si EngineersTRC walichukua watu wanne electrical mwezi wa saba..
Yaani hawa Kenge utumishi ,wamekuwa ni waalimu na manesi tu kila siku vipisi vipisi vya pdf ,bora wangewabakisha huko huko Tamisemihlo pdf nitakalokuwemo nitalitengenezea frem nilitundike sebuleni
Wanaboa kishenz yanYaani hawa Kenge utumishi ,wamekuwa ni waalimu na manesi tu kila siku vipisi vipisi vya pdf ,bora wangewabakisha huko huko Tamisemi
Wanashindwa nini kutoa pdf moja na be done with it ,kuliko huu upuuzi wa kukata vipande visivyo na maana
Mm sasa naona kabisa hili pdf ni la manesi lakin nalikomalia kulisoma ad mwisho nachoka jmn😆yaani mtu unafukuzia pdf mpaka unalewa yan🤣🤣
Ni TRC hao,tunaenda kuwakanda utumishi tareh 3 kesho kutwaa🙂Mkuu hii interview gan ya electrical engineer.? I mean ni shirika gan na ilitangazwa lin
Nenda kaka.nilisikia kuna fomu ya kujaza kama utashida .mengine yataeleweka mbele ya safari.ila kapambane mkuu.all the best mkuu.Wakuu,
Naomba ushauri, nna usaili wa assistant producer ya TBC, sasa h kazi inataka mtu anayeweza kuongea na kusoma vzr mana kazi mojawapo ni kusoma taarifa ya habari pamoja na mambo yote mnayojua ya kuongea kwenye vyombo vya habari.
H kazi ipo ndani ya qualifications zangu.
Sasa tatizo langu n kwamba nna kigugumizi kiasi kwamba hata kwenye kusoma hua nasitasita japokuwa sio kigugumizi kikali ila nikiwa nazungumza unajua kabisa nna kigugumizi.
Binafsi nataka kwenda ila kila nikifikiria hicho kigugumizi afu nafasi ni moja yn mpaka nahisi kukata tamaa.
Wakuu, naombeni ushauri wa kunitengeneza kiakili.
Pia wakuu, nauliza, Mfano umepata kazi maybe hy ambayo naona sitoiweza je naweza nikafika huko kazini na kubadili na kuchagua ambayo hawajaitangaza ila naiweza?
Nenda mkuu placement ndio cha muhimu wakikuona unafit ni kuwa wameelewa nafasi utakayofaa kufitWakuu,
Naomba ushauri, nna usaili wa assistant producer ya TBC, sasa h kazi inataka mtu anayeweza kuongea na kusoma vzr mana kazi mojawapo ni kusoma taarifa ya habari pamoja na mambo yote mnayojua ya kuongea kwenye vyombo vya habari.
H kazi ipo ndani ya qualifications zangu.
Sasa tatizo langu n kwamba nna kigugumizi kiasi kwamba hata kwenye kusoma hua nasitasita japokuwa sio kigugumizi kikali ila nikiwa nazungumza unajua kabisa nna kigugumizi.
Binafsi nataka kwenda ila kila nikifikiria hicho kigugumizi afu nafasi ni moja yn mpaka nahisi kukata tamaa.
Wakuu, naombeni ushauri wa kunitengeneza kiakili.
Pia wakuu, nauliza, Mfano umepata kazi maybe hy ambayo naona sitoiweza je naweza nikafika huko kazini na kubadili na kuchagua ambayo hawajaitangaza ila naiweza?
We nenda kapambane. Pia mtangulize Mungu utashinda.Wakuu,
Naomba ushauri, nna usaili wa assistant producer ya TBC, sasa h kazi inataka mtu anayeweza kuongea na kusoma vzr mana kazi mojawapo ni kusoma taarifa ya habari pamoja na mambo yote mnayojua ya kuongea kwenye vyombo vya habari.
H kazi ipo ndani ya qualifications zangu.
Sasa tatizo langu n kwamba nna kigugumizi kiasi kwamba hata kwenye kusoma hua nasitasita japokuwa sio kigugumizi kikali ila nikiwa nazungumza unajua kabisa nna kigugumizi.
Binafsi nataka kwenda ila kila nikifikiria hicho kigugumizi afu nafasi ni moja yn mpaka nahisi kukata tamaa.
Wakuu, naombeni ushauri wa kunitengeneza kiakili.
Pia wakuu, nauliza, Mfano umepata kazi maybe hy ambayo naona sitoiweza je naweza nikafika huko kazini na kubadili na kuchagua ambayo hawajaitangaza ila naiweza?
Kuna waliokandwa pia hawataki kutoa shuhuda kuwa wamekandwaInavyoonekana watu wa kada za afya aidha hawako wengi humu jukwaani au hawajasota sana hivyo kutokuona sababu ya kutoa shuhuda humu jukwaani
Wakuu, Dogo kapelekwa Ngorongoro.
Nipeni A B C, ikiwemo Furusa nyingine za Maisha na PESA.
kama hakufai, nimuanzie mchakato wa Kuondo
Kanuni za PSRS hazikubaliani na hoja hiyo!! Mamlaka ya ajira iliyoomba watumishi ndio inapewa kipaumbele!! Kumbuka PSRS wanafanya kwa niaba ya waajiri!! hawawezi kubadilisha!! Waliopangwa wizara ya afya na taasisi zake hao ndo walikuwa na alama za chini!! Kitu kibaya kilichotokea ni kuita watu wa database kabla ya waliokuwa wamechaguliwa!! Ni sawa ni kuita second selection mwazo kabla ya first selection kujiunga na form five au form one!! It was a grave mistake!
Nenda kapige unaweza fika ukakuta kuna wenye kigugumizi kukushnda hata wewe.Wakuu,
Naomba ushauri, nna usaili wa assistant producer ya TBC, sasa h kazi inataka mtu anayeweza kuongea na kusoma vzr mana kazi mojawapo ni kusoma taarifa ya habari pamoja na mambo yote mnayojua ya kuongea kwenye vyombo vya habari.
H kazi ipo ndani ya qualifications zangu.
Sasa tatizo langu n kwamba nna kigugumizi kiasi kwamba hata kwenye kusoma hua nasitasita japokuwa sio kigugumizi kikali ila nikiwa nazungumza unajua kabisa nna kigugumizi.
Binafsi nataka kwenda ila kila nikifikiria hicho kigugumizi afu nafasi ni moja yn mpaka nahisi kukata tamaa.
Wakuu, naombeni ushauri wa kunitengeneza kiakili.
Pia wakuu, nauliza, Mfano umepata kazi maybe hy ambayo naona sitoiweza je naweza nikafika huko kazini na kubadili na kuchagua ambayo hawajaitangaza ila naiweza?