Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Tatizo la LGA ni usumbufu wa madiwani!! Pia hofu ya wakurugenzi kuhusu usalama wa nafasi zao!! Akitembelea kiongozi kwenye kata husika watumishi wote wa halmashauri lazima wawepo hata kama ni jumapili!! Kwenye mikutano ya hadhara watumishi hulazimika kujibu kero za wananchi papo kwa papo! Ole wako usihudhurie mkutano wa hadhara halafu idara yako ikatakiwa kujibu hoja!! Mishahara ni sawa lakini usumbufu si sawa!!
Malupulupu kama extra duty, na bima n.k kwa watu wa afya??
 
Baada ya placement za hal mashauri kutoka sasa ni dhahiri kuwa placement za wizara ya afya zilikuwa kutoka database!! Kwenye wizara watu hawakupangwa kutokana na machaguo yao. Lakini placement za halmashauri zimepangwa kulingana na machaguo ya mikoa ya waombaji!! Kwa mfano namfahamu mmoja aliyechagua mkoa wa mbeya na amepangwa mojawapo ya halmashauri za mkoa wa mbeya!
Kada yangu wote waliofanikiwa wameitwa mikoa waliyofanyia usahili na kila mkoa hawajakosa watu 3-4
 
Kanuni za PSRS hazikubaliani na hoja hiyo!! Mamlaka ya ajira iliyoomba watumishi ndio inapewa kipaumbele!! Kumbuka PSRS wanafanya kwa niaba ya waajiri!! hawawezi kubadilisha!! Waliopangwa wizara ya afya na taasisi zake hao ndo walikuwa na alama za chini!! Kitu kibaya kilichotokea ni kuita watu wa database kabla ya waliokuwa wamechaguliwa!! Ni sawa ni kuita second selection mwazo kabla ya first selection kujiunga na form five au form one!! It was a grave mistake!
Kwa iyo waliofaulu mwanzo ndio walitakiwa waende wizara ya afya, au vyovyote tu ni sawa uko tamisemi?
 
hlo pdf nitakalokuwemo nitalitengenezea frem nilitundike sebuleni
Yaani hawa Kenge utumishi ,wamekuwa ni waalimu na manesi tu kila siku vipisi vipisi vya pdf ,bora wangewabakisha huko huko Tamisemi
Wanashindwa nini kutoa pdf moja na be done with it ,kuliko huu upuuzi wa kukata vipande visivyo na maana
 
Yaani hawa Kenge utumishi ,wamekuwa ni waalimu na manesi tu kila siku vipisi vipisi vya pdf ,bora wangewabakisha huko huko Tamisemi
Wanashindwa nini kutoa pdf moja na be done with it ,kuliko huu upuuzi wa kukata vipande visivyo na maana
Wanaboa kishenz yan
 
Wakuu,

Naomba ushauri, nna usaili wa assistant producer ya TBC, sasa h kazi inataka mtu anayeweza kuongea na kusoma vzr mana kazi mojawapo ni kusoma taarifa ya habari pamoja na mambo yote mnayojua ya kuongea kwenye vyombo vya habari.
H kazi ipo ndani ya qualifications zangu.

Sasa tatizo langu n kwamba nna kigugumizi kiasi kwamba hata kwenye kusoma hua nasitasita japokuwa sio kigugumizi kikali ila nikiwa nazungumza unajua kabisa nna kigugumizi.

Binafsi nataka kwenda ila kila nikifikiria hicho kigugumizi afu nafasi ni moja yn mpaka nahisi kukata tamaa.

Wakuu, naombeni ushauri wa kunitengeneza kiakili.

Pia wakuu, nauliza, Mfano umepata kazi maybe hy ambayo naona sitoiweza je naweza nikafika huko kazini na kubadili na kuchagua ambayo hawajaitangaza ila naiweza?
 
Wakuu,

Naomba ushauri, nna usaili wa assistant producer ya TBC, sasa h kazi inataka mtu anayeweza kuongea na kusoma vzr mana kazi mojawapo ni kusoma taarifa ya habari pamoja na mambo yote mnayojua ya kuongea kwenye vyombo vya habari.
H kazi ipo ndani ya qualifications zangu.

Sasa tatizo langu n kwamba nna kigugumizi kiasi kwamba hata kwenye kusoma hua nasitasita japokuwa sio kigugumizi kikali ila nikiwa nazungumza unajua kabisa nna kigugumizi.

Binafsi nataka kwenda ila kila nikifikiria hicho kigugumizi afu nafasi ni moja yn mpaka nahisi kukata tamaa.

Wakuu, naombeni ushauri wa kunitengeneza kiakili.

Pia wakuu, nauliza, Mfano umepata kazi maybe hy ambayo naona sitoiweza je naweza nikafika huko kazini na kubadili na kuchagua ambayo hawajaitangaza ila naiweza?
Nenda kaka.nilisikia kuna fomu ya kujaza kama utashida .mengine yataeleweka mbele ya safari.ila kapambane mkuu.all the best mkuu.
 
Wakuu,

Naomba ushauri, nna usaili wa assistant producer ya TBC, sasa h kazi inataka mtu anayeweza kuongea na kusoma vzr mana kazi mojawapo ni kusoma taarifa ya habari pamoja na mambo yote mnayojua ya kuongea kwenye vyombo vya habari.
H kazi ipo ndani ya qualifications zangu.

Sasa tatizo langu n kwamba nna kigugumizi kiasi kwamba hata kwenye kusoma hua nasitasita japokuwa sio kigugumizi kikali ila nikiwa nazungumza unajua kabisa nna kigugumizi.

Binafsi nataka kwenda ila kila nikifikiria hicho kigugumizi afu nafasi ni moja yn mpaka nahisi kukata tamaa.

Wakuu, naombeni ushauri wa kunitengeneza kiakili.

Pia wakuu, nauliza, Mfano umepata kazi maybe hy ambayo naona sitoiweza je naweza nikafika huko kazini na kubadili na kuchagua ambayo hawajaitangaza ila naiweza?
Nenda mkuu placement ndio cha muhimu wakikuona unafit ni kuwa wameelewa nafasi utakayofaa kufit

Nenda kapambanie placement hayo mengine utajua ukiwa kazini huezi jua hiyo unayoita changamoto ikawa ndio sababu ya wewe kupita
 
Wakuu,

Naomba ushauri, nna usaili wa assistant producer ya TBC, sasa h kazi inataka mtu anayeweza kuongea na kusoma vzr mana kazi mojawapo ni kusoma taarifa ya habari pamoja na mambo yote mnayojua ya kuongea kwenye vyombo vya habari.
H kazi ipo ndani ya qualifications zangu.

Sasa tatizo langu n kwamba nna kigugumizi kiasi kwamba hata kwenye kusoma hua nasitasita japokuwa sio kigugumizi kikali ila nikiwa nazungumza unajua kabisa nna kigugumizi.

Binafsi nataka kwenda ila kila nikifikiria hicho kigugumizi afu nafasi ni moja yn mpaka nahisi kukata tamaa.

Wakuu, naombeni ushauri wa kunitengeneza kiakili.

Pia wakuu, nauliza, Mfano umepata kazi maybe hy ambayo naona sitoiweza je naweza nikafika huko kazini na kubadili na kuchagua ambayo hawajaitangaza ila naiweza?
We nenda kapambane. Pia mtangulize Mungu utashinda.
 
Inavyoonekana watu wa kada za afya aidha hawako wengi humu jukwaani au hawajasota sana hivyo kutokuona sababu ya kutoa shuhuda humu jukwaani
 
Wakuu, Dogo kapelekwa Ngorongoro.

Nipeni A B C, ikiwemo Furusa nyingine za Maisha na PESA.

kama hakufai, nimuanzie mchakato wa Kuondo

Kanuni za PSRS hazikubaliani na hoja hiyo!! Mamlaka ya ajira iliyoomba watumishi ndio inapewa kipaumbele!! Kumbuka PSRS wanafanya kwa niaba ya waajiri!! hawawezi kubadilisha!! Waliopangwa wizara ya afya na taasisi zake hao ndo walikuwa na alama za chini!! Kitu kibaya kilichotokea ni kuita watu wa database kabla ya waliokuwa wamechaguliwa!! Ni sawa ni kuita second selection mwazo kabla ya first selection kujiunga na form five au form one!! It was a grave mistake!

Wakuu,

Naomba ushauri, nna usaili wa assistant producer ya TBC, sasa h kazi inataka mtu anayeweza kuongea na kusoma vzr mana kazi mojawapo ni kusoma taarifa ya habari pamoja na mambo yote mnayojua ya kuongea kwenye vyombo vya habari.
H kazi ipo ndani ya qualifications zangu.

Sasa tatizo langu n kwamba nna kigugumizi kiasi kwamba hata kwenye kusoma hua nasitasita japokuwa sio kigugumizi kikali ila nikiwa nazungumza unajua kabisa nna kigugumizi.

Binafsi nataka kwenda ila kila nikifikiria hicho kigugumizi afu nafasi ni moja yn mpaka nahisi kukata tamaa.

Wakuu, naombeni ushauri wa kunitengeneza kiakili.

Pia wakuu, nauliza, Mfano umepata kazi maybe hy ambayo naona sitoiweza je naweza nikafika huko kazini na kubadili na kuchagua ambayo hawajaitangaza ila naiweza?
Nenda kapige unaweza fika ukakuta kuna wenye kigugumizi kukushnda hata wewe.
Alafu hyo issue ya kubadili huwa ipo.
 
Ninavyocheki hizi pdf za afya najiuliza swali moja, bila shaka huko migiro pamefurika haswa na naona matangazo yote yanakuwa yanasema ndani ya siku saba raia ndo wafate barua baada ya hapo zinatumwa posta, ina maana wanapiga kazi hadi weekend kule kupunguza jam au chuma ni siku za kazi tu
 
Back
Top Bottom