pelius laurent
JF-Expert Member
- Oct 7, 2019
- 331
- 601
Kabla ya kazi, kuna kozi miezi sita mzee baba😂Mtoto kautaka, nimeutaka kweli dadeqBado hujaanza kaz tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kabla ya kazi, kuna kozi miezi sita mzee baba😂Mtoto kautaka, nimeutaka kweli dadeqBado hujaanza kaz tu
Kwani juzi si ndo ilikua tarehe tano?🤔juzi mbona hamna pdf wamepangiwa vipi walipigiwa simu au
Duh ok sawa kapige kazKabla ya kazi, kuna kozi miezi sita mzee baba😂Mtoto kautaka, nimeutaka kweli dadeq
Mk sijakuelewa hoja yako hapaTanapa imesomba sanaa watu .....
Toka mwaka jana walichukua watu toka 2022 na Inazihirisha kabisa toka Kauli yaMwenyekiti wa board Tanapa( Mabeyo)kauli aliyotoa kwa vijana inaonekana....Kigugumizi kipo kwenye Taasisi nyingine hizo(wana weka watoto wao kwa mgongo wa wanajitolea) kuona Tangazo la ajira baada ya miaka 2 hapo changamoto ipo database.
Mwisho
Utumishi waondoe kikomo cha Database ....
Hawa wanakwama faida ya kulamba asali huioni wapigiwe kelele apo mtu aliyepata juzi adi anaanza kula mshahara nyie kozi tu amjaenda Dah NoumaTunasubili kupigiwa simu mkuu
Wenyeviti wa Board Taasisi nyingine waonyeshe juhudi alionyesha Tanapa kuachia mikeka....Mk sijakuelewa hoja yako hapa
kapangiwa afya sioKwani juzi si ndo ilikua tarehe tano?🤔
Wameshaita mkuu bado UDHivi muce tayari wameitwa au
Wameitwa kazini auWameshaita mkuu bado UD
Mkuu mbona TFS mwezi wa tisa walitoa nafasi za kazi kwa Kada mblalimbali ivyo imebakia kufanya usaili tuuTanapa imesomba sanaa watu .....
Toka mwaka jana walichukua watu toka 2022 na Inazihirisha kabisa toka Kauli yaMwenyekiti wa board Tanapa( Mabeyo)kauli aliyotoa kwa vijana inaonekana....Kigugumizi kipo kwenye Taasisi nyingine hizo(wana weka watoto wao kwa mgongo wa wanajitolea) kuona Tangazo la ajira baada ya miaka 2 hapo changamoto ipo database.
Mwisho
Utumishi waondoe kikomo cha Database ....
Kwenye mapdf ya afya msidhani wote wale ni afya, muwe mnafatilia wale jamaa ni wahasibu lakini wamechanganywa kwenye pdf za afya, kwakua nilikua nimeshaathilika na kuangalia pdf ndo nikawa napitia pitia na kuwaona, na mmojawapo bila mimi sidhani kama angeona pdf maana hata sehemu ya kuangalizia pdf alikua hajui😁kapangiwa afya sio
hee kwaiyo kuna wahasibu wanaenda kua watekinologia maabaraKwenye mapdf ya afya msidhani wote wale ni afya, muwe mnafatilia wale jamaa ni wahasibu lakini wamechanganywa kwenye pdf za afya, kwakua nilikua nimeshaathilika na kuangalia pdf ndo nikawa napitia pitia na kuwaona, na mmojawapo bila mimi sidhani kama angeona pdf maana hata sehemu ya kuangalizia pdf alikua hajui😁
Kaka kuwa muelewa basi mfano hapo hawa ni wa afya mkoa wa Kilimanjaro lakini humo humo wamechanganya wahasibu n.khee kwaiyo kuna wahasibu wanaenda kua watekinologia maabara
ok mie sisomagi hayo mapdfKaka kuwa muelewa basi mfano hapo hawa ni wa afya mkoa wa Kilimanjaro lakini humo humo wamechanganya wahasibu n.k
Tanzania bara 26hivi tz kuna mikoa mingapi
wamalize tu aisee waanze na pdf za taasisi mbalimbaliWamebakiza mtwara tu
Hizo zita loading.... 2025!!!!Mkuu mbona TFS mwezi wa tisa walitoa nafasi za kazi kwa Kada mblalimbali ivyo imebakia kufanya usaili tuu
May be lkn za chini ya kapeti inasemekana before 25 December watu wawe tayari wameenda kwenye course ya miezi sitaHizo zita loading.... 2025!!!!