Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Attachments

  • Screenshot_20241107-103541~2.jpg
    Screenshot_20241107-103541~2.jpg
    48.4 KB · Views: 8
Tanapa imesomba sanaa watu .....
Toka mwaka jana walichukua watu toka 2022 na Inazihirisha kabisa toka Kauli yaMwenyekiti wa board Tanapa( Mabeyo)kauli aliyotoa kwa vijana inaonekana....Kigugumizi kipo kwenye Taasisi nyingine hizo(wana weka watoto wao kwa mgongo wa wanajitolea) kuona Tangazo la ajira baada ya miaka 2 hapo changamoto ipo database.
Mwisho
Utumishi waondoe kikomo cha Database ....
Mk sijakuelewa hoja yako hapa
 
Tanapa imesomba sanaa watu .....
Toka mwaka jana walichukua watu toka 2022 na Inazihirisha kabisa toka Kauli yaMwenyekiti wa board Tanapa( Mabeyo)kauli aliyotoa kwa vijana inaonekana....Kigugumizi kipo kwenye Taasisi nyingine hizo(wana weka watoto wao kwa mgongo wa wanajitolea) kuona Tangazo la ajira baada ya miaka 2 hapo changamoto ipo database.
Mwisho
Utumishi waondoe kikomo cha Database ....
Mkuu mbona TFS mwezi wa tisa walitoa nafasi za kazi kwa Kada mblalimbali ivyo imebakia kufanya usaili tuu
 
kapangiwa afya sio
Kwenye mapdf ya afya msidhani wote wale ni afya, muwe mnafatilia wale jamaa ni wahasibu lakini wamechanganywa kwenye pdf za afya, kwakua nilikua nimeshaathilika na kuangalia pdf ndo nikawa napitia pitia na kuwaona, na mmojawapo bila mimi sidhani kama angeona pdf maana hata sehemu ya kuangalizia pdf alikua hajui😁
 
Kwenye mapdf ya afya msidhani wote wale ni afya, muwe mnafatilia wale jamaa ni wahasibu lakini wamechanganywa kwenye pdf za afya, kwakua nilikua nimeshaathilika na kuangalia pdf ndo nikawa napitia pitia na kuwaona, na mmojawapo bila mimi sidhani kama angeona pdf maana hata sehemu ya kuangalizia pdf alikua hajui😁
hee kwaiyo kuna wahasibu wanaenda kua watekinologia maabara
 
Back
Top Bottom