Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Mk sijakuelewa hoja yako hapa
 
Mkuu mbona TFS mwezi wa tisa walitoa nafasi za kazi kwa Kada mblalimbali ivyo imebakia kufanya usaili tuu
 
kapangiwa afya sio
Kwenye mapdf ya afya msidhani wote wale ni afya, muwe mnafatilia wale jamaa ni wahasibu lakini wamechanganywa kwenye pdf za afya, kwakua nilikua nimeshaathilika na kuangalia pdf ndo nikawa napitia pitia na kuwaona, na mmojawapo bila mimi sidhani kama angeona pdf maana hata sehemu ya kuangalizia pdf alikua hajui😁
 
hee kwaiyo kuna wahasibu wanaenda kua watekinologia maabara
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…