Siku hizi naona hawaeleweki wanaita Zaidi ya mwaka endelea kusubirikama ni mwaka 1 basi imeshaisha toka mwez wa 6 nasubiria huruma yao tu
All the bestHaya wakuu, mm ndo niko kwa gari muda huu, usaili kesho asubuhi la TBC 🙏
Kama mwajiriwa wa serikali nenda bima taja chech namba !!!!!Naomba kuuliza,nawezaje kupata card namba ya bima ya NHIF mana kadi nimeisahau mahali halafu nahitaji huduma ya haraka
NAOT Hawaleti tuongeze received,sijawaona toka 2022Safari njema na kila la kheri kwenye Mkando
tumia ID ya NIDA,kama ume update NHIF yako wamelink na NIDA Hivyo ukiwapa ID ya NIDA unahudumiwaNaomba kuuliza,nawezaje kupata card namba ya bima ya NHIF mana kadi nimeisahau mahali halafu nahitaji huduma ya haraka
Haujawahi kupata matibabu tangu upate hiyo kadi?Naomba kuuliza,nawezaje kupata card namba ya bima ya NHIF mana kadi nimeisahau mahali halafu nahitaji huduma ya haraka
All the best mwambaHaya wakuu, mm ndo niko kwa gari muda huu, usaili kesho asubuhi la TBC 🙏
Wakuu, niombeeni 😭 nakiona kigugumizi kikinitoa kwenye reli mana nilitakiwa kusoma habariAll the best mwamba
Mkuu hapo hakuna cha kuombewa, moyo wako hapo tayari unayomajibu kuwa unaendelea au ndo ushayaaga mashindanoWakuu, niombeeni 😭 nakiona kigugumizi kikinitoa kwenye reli mana nilitakiwa kusoma habari
😁😁Hapo cha kukuombea ni Imani yako isitetereke baada ya kukandwa kwa maana ya urudi kuangazia received nyingine, maana hakuna kitu kigumu kama umetoka kukandwa kurudi mchezoni, hamna tofauti na timu ikiwa imefungwa
Sio data base lazima ulambe asali mark my words.Dah ww acha tuu ndugu yangu, angalau hata kesho nikakamilishe kukaa kwenye database 😂
Mm nna 65 afu kuna raia ana 89 hukoSio data base lazima utambue asali mark my words.
Nakubali bro, kama pamoja na kigugumizi changu nmefanikiwa Bc najimudu ngoja pakucheTulia tena ww una chance ya kupata uhakika oral ni mtanange mwingine apo mnaenda kuanza upya jiamini na ku focus
Pendeza si unajua kazi yenu.
unapoeleza swali la kwanza zingatia
1.jina
2.level ya elimu
3.proffessional experience related to the job
4.personal strength like flexibility
Ukija maswali mengine ata wakikwambia mention
Ukiulizwa swali toa definition ya key word afu ndio uanze ku mention point (muhimu sana APA)
Mengine mtangulize Mungu mimi nilifanya Ivo na nilipata placement mapema mno ya kwanza nilikosa nilikuwa siyajui haya
Ushauri mzuri, wengine tulifanya hivi pia interview ya kwanza na kulamba asali. JF Pazuri sanaTulia tena ww una chance ya kupata uhakika oral ni mtanange mwingine apo mnaenda kuanza upya jiamini na ku focus
Pendeza si unajua kazi yenu.
unapoeleza swali la kwanza zingatia
1.jina
2.level ya elimu
3.proffessional experience related to the job
4.personal strength like flexibility
Ukija maswali mengine ata wakikwambia mention
Ukiulizwa swali toa definition ya key word afu ndio uanze ku mention point (muhimu sana APA)
Mengine mtangulize Mungu mimi nilifanya Ivo na nilipata placement mapema mno ya kwanza nilikosa nilikuwa siyajui haya
Yap nilikosa placement ya kwanza japo paper ya written niliongoza niliumia sana sitamani mtu aje kukosa kisa Kuto kujua vitu vidogo kama iviUshauri mzuri, wengine tulifanya hivi pia interview ya kwanza na kulamba asali. JF Pazuri sana
Bila shaka umevuka kwenda hatua ya OralHaya wakuu, mm ndo niko kwa gari muda huu, usaili kesho asubuhi la TBC [emoji120]