mkuu leta ABC, passport ipo kabatini hapaMambo kwenye kada ya IT na Telecom yamebadilika sana. Najipanga kipindi kijacho, ngoja niingie Botswana kutafuta maisha. Wish me good luck ndugu zanguni.
Jamaa yangu alinipa ripoti mwanzoni mwa mwaka huu kuwa kule kuna mafursa kibao. Nimeona bora nijilipue tu kutafuta maisha kwingineko huku hizi ajira za kusubiri miezi sita halafu unaishi kwa matumaini nitajaribu kipindi kingine.mkuu leta ABC, passport ipo kabatini hapa
mkuu subiri kwanza upige ya TBC ndo ujilipue, kujilipua ni muhimu kwetu sisi vijana, "life begin at the end of comfort zone"Jamaa yangu alinipa ripoti mwanzoni mwa mwaka huu kuwa kule kuna mafursa kibao. Nimeona bora nijilipue tu kutafuta maisha kwingineko huku hizi ajira za kusubiri miezi sita halafu unaishi kwa matumaini nitajaribu kipindi kingine.
sasa huyu jamaa wa data analyst aliyepita mmoja si ndo tayari kashalamba asaliMh ila sio IT wanatoaga PRAC ngumu jamanii mh. Naona ya TCRA ya Leo walotoa walofanya PRAC Jana data scientist wote not selected
Pole sana ila tu nikukumbushe hua hairudiwiMimi ni miongoni wa tuliofanya interview za TCRA jana. Tumefeli sio kwa kutokujua bali tumefeli sababu ya poor organization na arrangements. Zile computer hazijawa configured vzr, password za kuingia kwenye database server hazipo sawa, unajikuta unatumia muda mrefu kufanya configurations, muda unaisha hata swali hujamaliza. Nashauri turudie pepa lakini computers ziwe well configured kusiwe na mazingira magumu.
kwa iyo gari litaenda tupu 😂 😂Pole sana ila tu nikukumbushe hua hairudiwi
Labda nafasi zitatangazwa upya aiseekwa iyo gari litaenda tupu 😂 😂
Hua hairudiwi gari limeenda tupukwa iyo gari litaenda tupu 😂 😂
Ndio uzuri ulihudhulia interview basi ikitoka ingine utaomba tena watakuzingatia ila hii uliyoshindwa wewe utaona kuna wenzio wamepasua wewe ndio haikua configured kuna wenzio computer zao zilikua zipo configured hahaha bongo michongo haiishiLabda nafasi zitatangazwa upya aisee
Ndio wadudu gani hao?Kuna nafasi 28 NAOT wenye sifa mshindwe wenyewe
Mkuu matokeo yametoka, tumefeli wote room nzima.Ndio uzuri ulihudhulia interview basi ikitoka ingine utaomba tena watakuzingatia ila hii uliyoshindwa wewe utaona kuna wenzio wamepasua wewe ndio haikua configured kuna wenzio computer zao zilikua zipo configured hahaha bongo michongo haiishi
Google uone nini hicho nilichokiandikaNdio wadudu gani hao?
ofisi ya mkaguzi mkuu wa serikaliNdio wadudu gani hao?
CAGofisi ya mkaguzi mkuu wa serikali
Kitunguu saumuGoogle uone nini hicho nilichokiandika
Pamoja mwanangu
Tatizo hawanaga za Telecom haoKuna nafasi 28 NAOT wenye sifa mshindwe wenyewe