Kaparo
JF-Expert Member
- Sep 7, 2013
- 2,072
- 5,053
Sogelea kuwa Senior kwanza, hivyo utaanza kutiki hizo ulizotaja.House
Transport
Meals
Hakuna chochote?
Kuna Senior mmoja anapata hizo. Wengine sijajua.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sogelea kuwa Senior kwanza, hivyo utaanza kutiki hizo ulizotaja.House
Transport
Meals
Hakuna chochote?
Yote hayo wanapunguza idadi ya watu wengi kukaa database wanajua ajira zenyewe zinakuja kama msimu wa mvua....Inaonekana IT wanakaza sana.naona prac wangekuwa wanatoa vitu basic tu then mtu akiajiriwa si atakula training.
Utapoteza muda wako bureWakuu naomba kuuliza mimi nina GPA ambayo siwez omba tutorial assistant lkn pale kwenye kuomba ilikubali nikaandika tu barua na kwenye interview nimeitwa niende au nisiende wakuu.
Sawa mkuu wacha ni chillUtapoteza muda wako bure
Mimi nina 3.6 nilishawahi kuomba tutorial mwalimu nyerere nilikuwa shortlisted lakini kwenye interview walinizingua sikufanya walikuwa wameweka minimum 3.8Sawa mkuu wacha ni chill
System huwa inajichanganya sometimes usiende kwa kuwa watakagua tena kuke then utakuwa umeingia gharama kakaWakuu naomba kuuliza mimi nina GPA ambayo siwez omba tutorial assistant lkn pale kwenye kuomba ilikubali nikaandika tu barua na kwenye interview nimeitwa niende au nisiende wakuu.
TA masomo gani wameita kaka?Wakuu naomba kuuliza mimi nina GPA ambayo siwez omba tutorial assistant lkn pale kwenye kuomba ilikubali nikaandika tu barua na kwenye interview nimeitwa niende au nisiende wakuu.
TA masomo gani wameita kaka?Wakuu naomba kuuliza mimi nina GPA ambayo siwez omba tutorial assistant lkn pale kwenye kuomba ilikubali nikaandika tu barua na kwenye interview nimeitwa niende au nisiende wakuu.
Nimekupata mkuuMimi nina 3.6 nilishawahi kuomba tutorial mwalimu nyerere nilikuwa shortlisted lakini kwenye interview walinizingua sikufanya walikuwa wameweka minimum 3.8
Vipi na ajira za serikali, wana cutting point GPA, mfano TRA, GCLA (kwa mkemia), TBS etc.Mimi nina 3.6 nilishawahi kuomba tutorial mwalimu nyerere nilikuwa shortlisted lakini kwenye interview walinizingua sikufanya walikuwa wameweka minimum 3.8
Hapana.Vipi na ajira za serikali, wana cutting point GPA, mfano TRA, GCLA (kwa mkemia), TBS etc.
Vipi na ajira za serikali, wana cutting point GPA, mfano TRA, GCLA (kwa mkemia), TBS etc
Usitishwe na hiyo kitu mkuu, kichwaji ni kile kile ila kipo kwenye chupa mpyaHongereni aise.. naona mmetoka kwenye TGS sasa bila shaka..
Bila shaka hii SAISS ni asali tamu ya nyuki wadogo wadogo kutoka Tabora.[emoji23]
accounting with Information Technology inaenda kutamba sasa.
Kwahiyo hii na TGS hamna tofauti mkuu?Usitishwe na hiyo kitu mkuu, kichwaji ni kile kile ila kipo kwenye chupa mpya