Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Nlikandwa kaka na kihereheere changu kujifanya mtelecomunist😂😂wacha nisubir zinazonihusu asee
Hahahahaha mkuu pole sana na hongera kwa hatua hii bila shaka umejifunza kitu kila hatua ni muhimu kwenye maisha!
Utumishi wanajua kukanda ukiwa ujakutana nao uwezi elewa aisee….
 
Back
Top Bottom