Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Wakuu naomba kuuliza mimi nina GPA ambayo siwez omba tutorial assistant lkn pale kwenye kuomba ilikubali nikaandika tu barua na kwenye interview nimeitwa niende au nisiende wakuu.
Huo usaili mnafanya lini? Na ni tutorial assistance wa chua gani mkuu?
 
Wakuu naomba kuuliza, Hivi kama nimetoboa oral na jina lipo kwa Database ila kila hakuna dalili ya kupangiwa kazi miezi sita sasa, na wakati huo huo nimepata kazi private sectors ambayo niki sign contract hakuna kuondoka mpaka contract iishe, hapo mnanishauri niende private au nisikilizie utumishi?
 
Wakuu naomba kuuliza, Hivi kama nimetoboa oral na jina lipo kwa Database ila kila hakuna dalili ya kupangiwa kazi miezi sita sasa, na wakati huo huo nimepata kazi private sectors ambayo niki sign contract hakuna kuondoka mpaka contract iishe, hapo mnanishauri niende private au nisikilizie utumishi?
Hilo jina kwenye database uliliona??? saini huo mkataba haraka ufanye kazi utimize baadhi ya ndoto zako, maisha hayasimami kanyaga kubwa kubwa, hakuna mkataba usio vunjwa especially hivi vimkataba vya kazi. Bravo 👊
 
Wakuu naomba kuuliza, Hivi kama nimetoboa oral na jina lipo kwa Database ila kila hakuna dalili ya kupangiwa kazi miezi sita sasa, na wakati huo huo nimepata kazi private sectors ambayo niki sign contract hakuna kuondoka mpaka contract iishe, hapo mnanishauri niende private au nisikilizie utumishi?
Mzee em sign mkataba huo kesho asubuhi kabla ya saa mbili.
Kwenye akili yako PDF ya kuitwa kazini ikitoka na ww haupo bc hesabu kuwa umefeli hvy songa na mambo mengine, mambo ya database muachie Mungu.
 
Wakuu naomba kuuliza, Hivi kama nimetoboa oral na jina lipo kwa Database ila kila hakuna dalili ya kupangiwa kazi miezi sita sasa, na wakati huo huo nimepata kazi private sectors ambayo niki sign contract hakuna kuondoka mpaka contract iishe, hapo mnanishauri niende private au nisikilizie utumishi?
sasa umejuaje kama upo database
 
Wakuu naomba kuuliza, Hivi kama nimetoboa oral na jina lipo kwa Database ila kila hakuna dalili ya kupangiwa kazi miezi sita sasa, na wakati huo huo nimepata kazi private sectors ambayo niki sign contract hakuna kuondoka mpaka contract iishe, hapo mnanishauri niende private au nisikilizie utumishi?
Huo mkataba wa Ajabu hamna mkataba wa hivyo.
Na umejuaje upo Database tupe mbinu!!
 
Nilifanya manuva na IT mmoja kule akanichekia mkuu.
Mhh mfanyakazi wa kawaida hana access ya kuingia kwenye data base wamekudanganya afu data base ya watu hadi ya mwezi wa nane wametoa
Hahahaha Ezekiel mbaga acha uoga tulia usije kutapeliwa.
Fact mkuu huu uongo ni kiwango cha rami.
 
Wakuu nan ashawai fanya online aptitude test za private sectors ni vitu gani vya kuzingatia nimepewa masaa 48 wakuu kabla sijafungua link
 
Tunaitwa subaru boys, mwakani tunafestival yetu😂😂
Hongereni mliodumbukia kwenye Asali og!! Hapo kama hauna mambo mengi ni ndani ya mwaka una viwanja viwili maeneo ya town na ndinga yako ya kupigia misele
 
Wewe Nend
Wakuu,

Naomba ushauri, nna usaili wa assistant producer ya TBC, sasa h kazi inataka mtu anayeweza kuongea na kusoma vzr mana kazi mojawapo ni kusoma taarifa ya habari pamoja na mambo yote mnayojua ya kuongea kwenye vyombo vya habari.
H kazi ipo ndani ya qualifications zangu.

Sasa tatizo langu n kwamba nna kigugumizi kiasi kwamba hata kwenye kusoma hua nasitasita japokuwa sio kigugumizi kikali ila nikiwa nazungumza unajua kabisa nna kigugumizi.

Binafsi nataka kwenda ila kila nikifikiria hicho kigugumizi afu nafasi ni moja yn mpaka nahisi kukata tamaa.

Wakuu, naombeni ushauri wa kunitengeneza kiakili.

Pia wakuu, nauliza, Mfano umepata kazi maybe hy ambayo naona sitoiweza je naweza nikafika huko kazini na kubadili na kuchagua ambayo hawajaitangaza ila naiweza?
Wewe nenda tuu kitaeleweka huko huko
 
Back
Top Bottom