BOT ni taasisi kubwa natumaini wamefanya research kabla ya kuamua kuset hicho kigezo alafu sio lzm kufanya kazi zenye GPA kubwa taasisi kibao tena ni za gvt hazi zingatii GPA wengine watafanya kaz hukoLazima tu criticise ili kuongeza kazi ya ufanisi na ubunifu daima hili taifa ni letu sote kulijenga kama watanzania.
1.2mHabari za humu.
Hiv mshahara wa Engineer II at EWURA ni sh ngap?
Kwanin mkuu shida nini GPA au? Mzee wa electrico El marabioshukisoma sehemu ya advertisement kwa sasa inavutia yaani taasisi ni za maana ila kuapply sasa ndo kipengele
Why kipengere?ukisoma sehemu ya advertisement kwa sasa inavutia yaani taasisi ni za maana ila kuapply sasa ndo kipengele
hapo sababu ni gpa na position zenyewe kama hiyo ya tpdc hapo experience ya miaka 12 si umri wa mtu mzima kabisa huoKwanin mkuu shida nini GPA au? Mzee wa electrico El marabiosh
yah experience hiyo si mchezoWhy kipengere?
Mjomba umetoka chuo unataka upewe nafasi ya General Manager utaweza?hapo sababu ni gpa na position zenyewe kama hiyo ya tpdc hapo experience ya miaka 12 si umri wa mtu mzima kabisa huo
ahh wanipe tu ntajifunza hukohukoMjomba umetoka chuo unataka upewe nafasi ya General Manager utaweza?
mateso kweli yani buyu unaliona hili hapa ila vigezo ndo changamotoMjomba umetoka chuo unataka upewe nafasi ya General Manager utaweza?
πππmateso kweli yani buyu unaliona hili hapa ila vigezo ndo changamoto
Pole sana, Mungu akufanyie wepesiHakiyanani kukandwa kunauma zaidi ya kutoswa na manzi
ππHakiyanani kukandwa kunauma zaidi ya kutoswa na manzi
Pole mkuu.ujipange kwa sahili nyingine mkuu.Hakiyanani kukandwa kunauma zaidi ya kutoswa na manzi
Mkuu tulia dawa ikuingieMungu atutetee
Dah!!!kweli tunapita kwenye Kaa la moto jobless...
Leo UHURU ,Utumishi(PSRS) hakuna hata Pdf la Taasisi mbalimbali heavy mkatubless jobless tuamke na Tabasamu lamatumaini.....