Wanaweza kuitwa ata baada ya mwezi mmoja mbona kuna kazi zimetangazwa mwez wa kumi na washafanya tayarKwahio walio omba kazi hivi karibuni waji andae tu na wao kuitwa kwenye usahili mwezi wa saba maana kazi ipo inavyo onekana kule..π
Hali ni Tete wasishangae wakifika wa 8π π πKwahio walio omba kazi hivi karibuni waji andae tu na wao kuitwa kwenye usahili mwezi wa saba maana kazi ipo inavyo onekana kule..π
Endeleeni kusoma mjiandae vyema hakuna kitu kinauma kama kukamdwa imagine umesubili muda wote huu. Interview unaitwa unaishia written mazee
Unaona unachelewa kuitwa ila ukiitwa zibakia siku mbili kabla ya mkando unajiona namna gani haujajiandaa vizuri..
Ukiwa jobless wa psrs miezi nane ni kama miaka naneππππππwengi watakua wameshadedi π€£ π€£
π πNa hapo ndipo ukikandwa vizur utajua ulikua huna haraka ya kukimbilia interview kumbe
Kwakweli ina wezekana pia maana jamaa hawa eleweki kabisa nao.Wanaweza kuitwa ata baada ya mwezi mmoja mbona kuna kazi zimetangazwa mwez wa kumi na washafanya tayar
Dah nashukuru Mungu nimelamba asali.Chuo cha NIT wamegoma kabisa kutoa Pdf.
Hujachomoka na pdf zote zile kakaπ₯²mwezi wa saba sio leo
Hongera Sana Mkuu ukawe mtumishi mwemaDah nashukuru Mungu nimelamba asali.
Mungu atakutendea tu mkuu πHatimae PDF mbili za Leo nimebahatika kuwaona niliokuwa nao oral eeeh!!! Mungu tenda miujiza next PDF jina langu lisomeke ππ
Acha kuchanganya watu na jua kali hili. Tulieni kila mmoja ataitwa kwa wakati wakeHujachomoka na pdf zote zile kakaπ₯²
Hongera sana mkuuDah nashukuru Mungu nimelamba asali.
Tukizimiss sana shuhuda za hivi.Napita hapa kutoa shukrani kwa wote wanaoendelea na waliochochea kutupa watu moyo tuendelee kuongeza received humu. Nami Mwenyezi Mungu ameamua wakati wangu umefika. Nashukuru Mungu nimeitwa Dodoma kuchukua barua. Nilianza mchakato wa kupambania ajira tangu mwaka 2021, bahati mbaya sikuwa na uwezo wa kuhudhuria zote nlizoomba. Kuna kipindi nilikata tamaa maana mikando ilikuwa ya kutosha na ndio nikajiunga jf kuangalia wadau wanasemaje kuhusu swala la ajira. Hatimae nikakutana na huu uzi na comment za wadau kuhusu kuendelea kupambana.
Mwaka jana nimefanya interview moja nikafika nayo oral na japokuwa nilikosa post niliyoomba jana mkeka umetoka nikiwa nimepangiwa ofisi nyingine.
Nashukuru sana Mungu na watu wote ambao japo wamepata kazi bado wanarudi humu kuwapa wapambanaji wengine moyo.
ahsanteni