Hata taesa huwa wanauliza swali hili.kwahyo halipingikiUnahisi utaulizwa hilo swali kwenye usaili?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata taesa huwa wanauliza swali hili.kwahyo halipingikiUnahisi utaulizwa hilo swali kwenye usaili?
hamna ukiitwa kazini usipoenda ndio shidaHivi kama umepangiwa written Interview na haujaenda kufanya kwa sababu zozote zile. Utakuwa blacklisted na mfumo?
Ukiona hivyo ndo kichaka Taasisi zote zitapitia wamerusha ndoanoNaona CBE wameamua kuajili wenyewe sasa tangazo limetolewa lkn kwenye mfumo wa ajira portal halijawekwa .
Huwezi kufanya huo mchakato bila KIBALI kutoka Kwa katibu mkuu utumishiUkiona hivyo ndo kichaka Taasisi zote zitapitia wamerusha ndoano
nafikiriNikumbusheni.Sifa tano za mtumishi wa umma
Ingia kwenye web site ya sekretarit kwenye update pale wanapo weka matangazo. Utaliona hilo tangazo lakini kwenye mfumo wa maombi ndan hazipo hizo nafasi. Na anauni sio ya katibu wa utumishi ni ya kwao mkuu ina maana unapeleka kwa mkono au njia ya postaHuwezi kufanya huo mchakato bila KIBALI kutoka Kwa katibu mkuu utumishi
Alatatafute code of conduct za jamhuri wa Mungano wa Tanzania zipo kama 12 hivinafikiri
1.Communication skills
2.Knowledgeable
3.Adaptable/flexible
4.Passionate
5.Accountable
6.Disciplined and well mannered
7.Transparency
Wengine hapa tuna majina mawili F4 na F6, ila chuo yapo majina matatu na tumefanya zaidi ya interview tano psrs hadi tumepita haijawahi leta shida.Je kwa mtu mwenye majina mawili tu kwenye vyeti vya Taaluma (mfano: Adam Kiberenge), na majina matatu kwenye vitambulisho like NIDA, vote ID (mfano: Adam Shija Kiberenge), hapo kutakuwa na shida yoyote ?
Nimeona ila sijajua hili utaratibu wa kutuma ukoje Kuna zile nafasi za BOT address ilikuwa pia sio ya katibu mkuu lakini maombi ulikuwa unatumika kupitia ajira portal hukohukoIngia kwenye web site ya sekretarit kwenye update pale wanapo weka matangazo. Utaliona hilo tangazo lakini kwenye mfumo wa maombi ndan hazipo hizo nafasi. Na anauni sio ya katibu wa utumishi ni ya kwao mkuu ina maana unapeleka kwa mkono au njia ya posta
Umeona lkn hii ipo tofauti wameona watacheleweshwa sanaNimeona ila sijajua hili utaratibu wa kutuma ukoje Kuna zile nafasi za BOT address ilikuwa pia sio ya katibu mkuu lakini maombi ulikuwa unatumika kupitia ajira portal hukohuko
bora kama wameligundua hiloUmeona lkn hii ipo tofauti wameona watacheleweshwa sana
Ndiyo mlifanya na watu wa veta pamoja
Hivi huyu bro Makofia aliendaga wapi, ni moja ya watu waliokuwa wanatupa za ndani sana na kututia moyo katika mapambanoBado mkeka mwengine ambao wajiriwa wapya watafuata barua Dom
😂😂😂😂😂🙌🙌wapunguze munkari banaa,wote tunataka buyu la Asali hapaRahsully kua makini watu wako moto majina hayaonekani kwa pdf utachezea makofi online😛😛
Jamaa ina onekana mzigo wa mchakato wa ajira umesha kuwa kipengele kwao kwa hii hali inavyo kwenda hivi sasa mkuu.🤔Mkuu ishu ya walimu haitakuwa rahusi nimemsikia waziri mwenye dhamana akisema wezalisha idadi ya waalimu mamia kwa ma elfu kuliko mahitaji. Ina maana hao waalimu waishe sisi wa august inaweza kata mwaka mkuu.
Bado zile nafasi nyingne za watu wawili. Post ya mtu mmoja na nyingine ni nying kwa kifupi sekretariat wamezidiwa mzigo ni mkubwa
Hii ya waalimu watakao faulu written wachukue cutting point mpaka 70 moja kwa moja wapewe vituo ni wazo langu tu. Kuliko kuendeleza mpaka oral