kante mp2025
JF-Expert Member
- Nov 11, 2022
- 631
- 1,192
wanafyatua tu mkuuLeo wamejitajidi Kuna mwanangu kalamba asali ..hivi na jpili wanatoaga kwel au ndo tusubiri mpaka j3???
Ngoja tusubiri na kesho huwenda tukatokeawanafyatua tu mkuu
Mungu atusaidie mkuu wanguNgoja tusubiri na kesho huwenda tukatokea
Amina Mkuu🙏🙏Mungu atusaidie mkuu wangu
Kaka unatupa za ndaniii jambo gani hiloJiandaeni kuna jambo huko soon mkachukue number za usaili kwenye portal
Mkemia,TBS?Jiandaeni kuna jambo huko soon mkachukue number za usaili kwenye portal
Tuko salama ila mambo bado magumu shekhe.Ndugu zanguni, mnaendeleaje wadau katika uzi huu!
Tuendelee kupambanaKiongozi mimi ninayo ya mwaka 2022 received ...bado sijakata tamaa ninaendelea na maandalizi ya Interview 😀😀😀
utapoteza tu muda mwalimu pambana na hiyo hiyo degree itakutoa tuOya wazee mimi ni mwalimu nimekua na option tofauti tofauti, niko na miaka 27, nina degree ya ualimu na niko halmashauri, nipo na option nyingi ya kusoma degree, kwasababu nilisoma Pcb na nina div 2 ya 11, nataka nikasome diploma ya civil engineering au architecture?..vipi niko kwenye njia sahihi?, maana naona ni bora kuliko degree ya ualimu uku mpwimbe katavi.
UnamaanishajeHivi watu wa utumishi wanayo access ya kukupigi simu ili jina lako liingie kwenye pdf ya placements?
Degree ya ualimu itanitoa kwenda wapi mkuu, na nipo kwenye system sioni ninapoenda? Na senior waliopo hawana matumaini yoyote?utapoteza tu muda mwalimu pambana na hiyo hiyo degree itakutoa tu
Hivi watu wa utumishi wanayo access ya kukupigi simu ili jina lako liingie kwenye pdf ya placements?
Yaan umeshafanya usaili halafu wanakupigia sim ufanye mpango wakuingize kwenye placement sio!?Hivi watu wa utumishi wanayo access ya kukupigi simu ili jina lako liingie kwenye pdf ya placements?
Buy Gani Mkuumara ooh hatuna bahati haya sasa buyu la asali hilo mjiandae kwa manundu.hii interview yake nadhani itakua baada ya christmass🤣🤣
ndio boss wanguYaan umeshafanya usaili halafu wanakupigia sim ufanye mpango wakuingize kwenye placement sio!?